Mzee wa Gombe bado yumo Kama Yoweri Nkulunzinza kagame obiyang - hawaachi, wanakaba hata pabalti za umri na hawataki kupumzika.
Kwa uteuzi wa wassira ni ujumbe Kwa cdm waendelee na FAM- lakini wanacho sahau ni kwamba Bulaya tayari alikwishwa Mshinda zilipendwa wasira huko Bunda. Sijui ccm wanataka nini kumrudisha huyu Mzee. Muoneeni huruma basi…