Mzee Wassira, Mzee Mbowe, Mzee Lipumba, Mzee wa Ubwabwa, Mzee Cheyo nk ndio tegemeo la Siasa za Tanzania. Mungu Ibariki ACT wazalendo!

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Leo tunafanya Maombi ya kuwaombea Wanasiasa Wote wa Nchi hii Ili taifa letu lizidi kuwa na Amani

Tumesukumwa na Wito wa Rais mstaafu wa Kenya kuwataka Vijana watetee Haki zao za Msingi na Urithi wa Rasilimali za Nchi Ili na Vizazi vyao zizikute Kwa sababu Wazee Muda wa Maisha yao uko ukingoni

Tutaiombea zaidi na ACT Wazalendo inayoamini katika Uongozi wa Vijana

Tunawatakia Dominica Njema

Ni sisi Yohana, Mzee Mgaya na Mchungaji Erasto 😀😀
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…