KING MIDAS
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 8,589
- 16,936
Ya wapi?Naendelea vizuri.
Kwa sasa nipo Dodoma.
Nipo Dodoma makao makuu ya nchi.Ya wapi?
Yaani akili za waTanzania zimeenda ni kama hawajitambui mamboMzee wetu na Baba/ Babu wa Watanzania wengi Dr. Ali Hassan Mwinyi tulitangaziwa ya kwamba yu mgonjwa, na akakimbizwa hospitali kwa matibabu ya kifua.
Tangu tumetangaziwa hivyo hatujapata mrejesho wa afya ya Mzee wetu.
Woto wangu kwenu ndugu zanguni Watanzania wenzangu, tuendelee kusugua goti, Mungu amponye Mzee wetu
SwadaktaFamilia iliomba faragha. Kukiwa na maendeleo watatuarifu.
Nyerere aliingiza nchi kwenye uchawi na ushirikina na laana, hadi kutuletea mwengeTunamuombea mzee wetu afya njema.
Huyu ndiye kwa uwezo wa Mungu alietutoa gizani na tukaanza kuishi kama binaadamu sio kupoteza siku nzima kwenye foleni ya kipande cha sabuni na bidhaa nyingine muhimu.
Sent from my BLA-L29 using JamiiForums mobile app
Endeleeeni.Mzee wetu na Baba/ Babu wa Watanzania wengi Dr. Ali Hassan Mwinyi tulitangaziwa ya kwamba yu mgonjwa, na akakimbizwa hospitali kwa matibabu ya kifua.
Tangu tumetangaziwa hivyo hatujapata mrejesho wa afya ya Mzee wetu.
Woto wangu kwenu ndugu zanguni Watanzania wenzangu, tuendelee kusugua goti, Mungu amponye Mzee wetu
AMINAEndeleeeni.
Hapana sio kwa Mzee Mwinyi...hana baya..Tumuogope Mungu.Tanganyika Upendo umepoa [emoji209]
Mzee wetu na Baba/ Babu wa Watanzania wengi Dr. Ali Hassan Mwinyi tulitangaziwa ya kwamba yu mgonjwa, na akakimbizwa hospitali kwa matibabu ya kifua.
Tangu tumetangaziwa hivyo hatujapata mrejesho wa afya ya Mzee wetu.
Woto wangu kwenu ndugu zanguni Watanzania wenzangu, tuendelee kusugua goti, Mungu amponye Mzee wetu