Kaka yake shetani JF-Expert Member Joined Feb 1, 2023 Posts 5,771 Reaction score 14,732 Feb 23, 2024 #21 Babu yako wa uranga malinyi vipi mpa ufatilie mababu wasio wako wa keki ya taifa
Wakuperuzi JF-Expert Member Joined Mar 31, 2023 Posts 2,348 Reaction score 5,841 Feb 23, 2024 #22 Smart911 said: Subira yavuta kheri... Cc: Mahondaw Click to expand... Duh
Papasa JF-Expert Member Joined Nov 2, 2018 Posts 2,619 Reaction score 5,780 Feb 23, 2024 #23 Ukimuombea wewe inatosha, sisi wengine kuwepo au kutokuwepo kwake hakuna maana yoyote kwetu
KING MIDAS JF-Expert Member Joined Dec 1, 2010 Posts 8,589 Reaction score 16,936 Feb 23, 2024 Thread starter #24 jiwe angavu said: Akufe tu mana kama kuishi kaishi sana. Click to expand... Sio kila mtu atakufa, wengine ni warithi wa uzima wa milele
jiwe angavu said: Akufe tu mana kama kuishi kaishi sana. Click to expand... Sio kila mtu atakufa, wengine ni warithi wa uzima wa milele
Mateso chakubanga JF-Expert Member Joined May 10, 2021 Posts 587 Reaction score 800 Feb 23, 2024 #25 Subirini kwanza mtajuzwa kwa muda muafaka mi nahangaika na kilimo cha mpunga Ifakara huku maeneo ya viwanja sitini
Subirini kwanza mtajuzwa kwa muda muafaka mi nahangaika na kilimo cha mpunga Ifakara huku maeneo ya viwanja sitini