Mzee Yusuf kwani vepeee?


majani yangu yamekamatwa mpakani migori na namanga hivyo sasa nina wiki ya pili " sijalanduka ".
 
majani yangu yamekamatwa mpakani migori na namanga hivyo sasa nina wiki ya pili " sijalanduka ".
Hahahahaaaaa nilitaka kukuuliza hivihivi,kuwa hujapiga vitu vyako nini?
Maana ukishavipiga akili zako unazijua mwenyewe.
 
Hahahahaaaaa nilitaka kukuuliza hivihivi,kuwa hujapiga vitu vyako nini?
Maana ukishavipiga akili zako unazijua mwenyewe.

bila hivyo " vitu " akili yangu haifikirii ki Albert Einstein ila nikivipata nakuwa " mtamu " kama mcharo. nahangaika kugomboa mizigo yangu kutoka kwa Wasomali huko mipakani la sivyo akili yangu nayo " itasizi ". vipi unataka na wewe kidogo nikubakizie?
 
Mimi situmii hiyo makitu popoma,hata kilevi chochote.
Niko orijino,sitegemei booster...
Hehehehehee
 
Mimi situmii hiyo makitu popoma,hata kilevi chochote.
Niko orijino,sitegemei booster...
Hehehehehee

nakushauri uanze kuitumia utakuwa vizuri mno " kichwani " si unaona hata akina hayati Bob Marley na Tupac Shakur nao walikuwa ndiyo WALIMU wetu walivyokuwa wazima " kichwani " hadi leo tunayaishi yale yote waliyokuwa wakituelezea kupitia nyimbo zao?
 
mwali umesahau???
mtaka nyingi nasaba hupata mingi misiba?
wee huyo mmoja tu naga inapaa asa ndo uwe nao 2 ama 3?
 
mwali umesahau???
mtaka nyingi nasaba hupata mingi misiba?
wee huyo mmoja tu naga inapaa asa ndo uwe nao 2 ama 3?


Na kweli MKuu gfsonwin "Only two things are infinite, the Universe and Human stupidity, I am not sure about the former." - Albert Einstein
Yetu macho na masikio! !
 
Na kweli MKuu gfsonwin "Only two things are infinite, the Universe and Human stupidity, I am not sure about the former." - Albert Einstein
Yetu macho na masikio! !
kwanza huyu mzee alinishangaza sana...........
hivi aliruhusuje wakeze wawili kuanza kuimbiana nyimbo za kuzodoana kwenye albam zao?
sasa eti saa hizi anasema atafanya maamuzi magumu...........yepi hayo? mbona hakukataza nyimbo kupelekwa studio?
hiko ndicho chanzo cha malibwata, ndejela, nk
 
count down yako ya tarehe 8 naona inakaribia au? umeandaa zawadi gani ya kumkaribisha Rafiki yako hasa kwa mwaka huu mpya hasa ukizingatia hujaona " pua " yake humu kwa siku 14 baada ya adhabu za wenyewe akina " pilato? ".
Kama ulikuwa kwenye akili yangu,nilikuwa nawaza nitampokea vipi rafiki yangu kipenzi maana nimemmiss balaa.
Ngoja aje tu,hadi sasa imebaki siku 1 na robo arudi....
Can't wait having a crazy convo with him....
 


Washamuweka kwa viganja huyo anaanzia wapi kuyafanya maamuzi magumu zaidi ya kuoa tena? Hapo me naona anatafuta Huruma ya jamii soon anaweza leta goma jingine!
 
Huyu nae mmmh

Na bado nilijua majuto yatakuja nilisomaga anavyoringishia ndoa zake ka vile yupo kwenye roho zao ma watu wanaowazunguka angeweza funga na kufungua kwa funguo atakavyo...

Na yamejiri akome

Hata hayo atajiju kama ni mwanaume asingeyaeeka kwa jamii kuyasikia au kuyasoma.

Hana kitj kumbe aaagh anamtambia nani akaoe hata mia mwili ni wake.
 
Kama ulikuwa kwenye akili yangu,nilikuwa nawaza nitampokea vipi rafiki yangu kipenzi maana nimemmiss balaa.
Ngoja aje tu,hadi sasa imebaki siku 1 na robo arudi....
Can't wait having a crazy convo with him....

kwani members si wengi sana humu ni kwanini unampenda sana huyo jamaa? kuna siri gani labda? huoni kwamba unaweza ukawavunja moyo wengine hasa kwa kuonyesha " mahaba " ya kimtandao na huyo jamaa? natamani Mwenyezi Mungu aniweke hadi kesho ili nifuatilie conversations zenu. na mimi ningekuwa napendwa hivi na wewe kama yeye ( jamaa ) ningefurahi sana. hakika kuna watu na bahati zao hapa duniani.
 
Ndio anakoelekea sasa na ile michambo alochambwaga na duller square hakomi
Leila ana ustaarabu flani hivi, chiku alichambwa na duller nae akajibu ha ha ha ha nlicheka duller alisarenda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…