MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,018
- 16,802
Kipo cha kujifunza na nimeshajifunza tayari.
Asante kwa maelezo/masimulizi yako yaliyotukuka.
Leo umetuliza kichwa na umeandika kwa upole sana hadi raha.
Kumbe na wewe ni mtu mzuri namna hii basi tu unajitoaga fahamu.
Nimekupendaje sasa?
Keep it up my popoma cleverbright.
Hahahahaaaaa nilitaka kukuuliza hivihivi,kuwa hujapiga vitu vyako nini?majani yangu yamekamatwa mpakani migori na namanga hivyo sasa nina wiki ya pili " sijalanduka ".
Hahahahaaaaa nilitaka kukuuliza hivihivi,kuwa hujapiga vitu vyako nini?
Maana ukishavipiga akili zako unazijua mwenyewe.
Mimi situmii hiyo makitu popoma,hata kilevi chochote.bila hivyo " vitu " akili yangu haifikirii ki Albert Einstein ila nikivipata nakuwa " mtamu " kama mcharo. nahangaika kugomboa mizigo yangu kutoka kwa Wasomali huko mipakani la sivyo akili yangu nayo " itasizi ". vipi unataka na wewe kidogo nikubakizie?
Mimi situmii hiyo makitu popoma,hata kilevi chochote.
Niko orijino,sitegemei booster...
Hehehehehee
Sio tu ukubwani kayajulia uzeeniatakua amejua mapenzi ukubwani si bure
mwali umesahau???Halafu bado tunakasirika watu wanapotudharau wanawake?? Mwenyeezi Mungu anisamehe sana na aniepushe na hiki kikombe inshaallah! How can you share a D**k na maradhi yote haya jamani! Wanawake wengi wanaolewa mitala (sio wote) wamegeuka washirikina nusura wawe wachawi, kila mmoja anapulizia kwake!
Hata sishangai why jamaa maendeleo yake kurudi nyuma badala ya kusonga mbele, huku "shuntama" & huku "limbwata* & kule "nyama ya *chi!! Saa ngapi hasichanganyikiwe! ! Na hapo bado ni kama anatafuta sababu ya kuongeza mwingine!!
*Zile ndude zingekua kama kifutio sijui ingekuaje! !
mwali umesahau???
mtaka nyingi nasaba hupata mingi misiba?
wee huyo mmoja tu naga inapaa asa ndo uwe nao 2 ama 3?
kwanza huyu mzee alinishangaza sana...........Na kweli MKuu gfsonwin "Only two things are infinite, the Universe and Human stupidity, I am not sure about the former." - Albert Einstein
Yetu macho na masikio! !
Kama ulikuwa kwenye akili yangu,nilikuwa nawaza nitampokea vipi rafiki yangu kipenzi maana nimemmiss balaa.count down yako ya tarehe 8 naona inakaribia au? umeandaa zawadi gani ya kumkaribisha Rafiki yako hasa kwa mwaka huu mpya hasa ukizingatia hujaona " pua " yake humu kwa siku 14 baada ya adhabu za wenyewe akina " pilato? ".
kwanza huyu mzee alinishangaza sana...........
hivi aliruhusuje wakeze wawili kuanza kuimbiana nyimbo za kuzodoana kwenye albam zao?
sasa eti saa hizi anasema atafanya maamuzi magumu...........yepi hayo? mbona hakukataza nyimbo kupelekwa studio?
hiko ndicho chanzo cha malibwata, ndejela, nk
Hahahhaha umesoma caption inayosadikiwa hiyo chichu alomjib malkia me Hua nacheka sanaSio tu ukubwani kayajulia uzeeni
Ya lini hiyo sijatembelea account yakeHahahhaha umesoma caption inayosadikiwa hiyo chichu alomjib malkia me Hua nacheka sana
Kama ulikuwa kwenye akili yangu,nilikuwa nawaza nitampokea vipi rafiki yangu kipenzi maana nimemmiss balaa.
Ngoja aje tu,hadi sasa imebaki siku 1 na robo arudi....
Can't wait having a crazy convo with him....
Ya lini hiyo sijatembelea account yake
HiiYa lini hiyo sijatembelea account yake
Nlikua sijaona mi sijawafollow, yani huyo chiku ana choko choko ataachwa ha ha ha
Ndio anakoelekea sasa na ile michambo alochambwaga na duller square hakomiNlikua sijaona mi sijawafollow, yani huyo chiku ana choko choko ataachwa ha ha ha
Leila ana ustaarabu flani hivi, chiku alichambwa na duller nae akajibu ha ha ha ha nlicheka duller alisarendaNdio anakoelekea sasa na ile michambo alochambwaga na duller square hakomi