Mzee Yusufu alitaka kufanya Hip Hop

Mzee Yusufu alitaka kufanya Hip Hop

real G

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2013
Posts
5,227
Reaction score
5,299
Mtayarishaji wa muziki mkongwe Allan Mapigo anadai muimbaji nguli wa taarabu Mzee Yusufu alikua na mpango wa kufanya hip hop, lakini yeye akambadilisha mawazo kutokana na kuona anafaa zaidi kuimba mduara/taarabu.

Chanzo: Bongo5
 
Hip pop wagumu sasa mbona yeye mlaini sana angeweza kweli ??
 
Bora alivyombadisha maana huku tungempiga madole hatutaki uchoko
 
Huyo Jamaa wanasema ni NGAPULILA mbona ana wake wawili na wote wana wivu naye mbaya inakuwaje sasa?
 
Hata Zanzibar hiphop ipo, nimewahi kuskia mistari,"Masta J kaa chini nikupe skendo, karafuu yangu mwenyewe kuisafirisha naambiwa magendo". Halafu hiyo iweke kwenye ile rafudhi ya kipemba.
 
Back
Top Bottom