*MZEMBE BAADA YA KUKUTANA NA REHEMA.*
*MZEMBE ;* Mambo Rehema?
*REHEMA ;* Poa!!
*MZEMBE ;* Kuna kitu nataka nikuonyeshe!!
*REHEMA ;* Kitu gani?
*MZEMBE ;* Twende chumbani kwako.
_(Wakaenda)_
*REHEMA;* Nionyeshe basi!
*MZEMBE ;* Funga mlango na Madirisha kwanza.
_(Rehema akafunga)_
*REHEMA;* Nionyeshe sasa!!
*MZEMBE;* Zima taa kwanza..!
_(Rehema akazima)_
*REHEMA;* Mmh... Haya nionyeshe sasa!!
*MZEMBE;* Haya Njoo hapa Kitandani.
_(Rehema akapanda kitandani)_
*REHEMA;* Ok, Nionyeshe.
*MZEMBE ;* Mwezio nimenunua saa ya Kuwaka Waka.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]