Tata ya bana
JF-Expert Member
- Jul 14, 2018
- 295
- 357
Wakuu za jioni.
Nilikutana na mzungu mmoja mwanaume katika cafe moja tukakaa meza moja tukapiga story huku tunakunywa kahawa, tuliongea mengi kuhusu maisha na yeye alijieleza ni doctor kule Machame wa kujitolea. Baadaye akawa anaaga ila akaniambia "WHAT CAN I DO FOR YOU"? nilielewa maana yake ila nilishindwa kujibu zaidi nilimuaga na kupeana business cards kiuhalisia nilitakiwa nimpige mzinga au?
Nilijiona fala sana
Nilikutana na mzungu mmoja mwanaume katika cafe moja tukakaa meza moja tukapiga story huku tunakunywa kahawa, tuliongea mengi kuhusu maisha na yeye alijieleza ni doctor kule Machame wa kujitolea. Baadaye akawa anaaga ila akaniambia "WHAT CAN I DO FOR YOU"? nilielewa maana yake ila nilishindwa kujibu zaidi nilimuaga na kupeana business cards kiuhalisia nilitakiwa nimpige mzinga au?
Nilijiona fala sana