Lucchese DeCavalcante
JF-Expert Member
- Jan 10, 2009
- 5,471
- 752
Sijakuelea Maria Roza sabuni ya roho yangu??I am INSURED by the MAFIA mob, You hit me, We hit you...:israel::whoo::whoo::whoo::whoo:
Sijakuelea Maria Roza sabuni ya roho yangu??
Hii thread nzito kwa vilaza thus why haichangiwi hehehe
Ni kweli kaka sugua kichwa mkuuNibora kukaa kimya uonyeshe hekima kuliko kuongea sana ukaonyesha upumbavu wako, mh ndugu pengine watu hawajaelewa kitendawili ndo maana wamedoji. Hata mi sijaelewa japo sio kilaza teh teh teh.
Nibora kukaa kimya uonyeshe hekima kuliko kuongea sana ukaonyesha upumbavu wako, mh ndugu pengine watu hawajaelewa kitendawili ndo maana wamedoji. Hata mi sijaelewa japo sio kilaza teh teh teh.
aliyeandika mwenyewe kilaza hajui kaandika nn ....ngoja nisepe cingii tena humu
Mzigo jamani mzigo huu, kuubeba wameubeba wengi wa mwisho sasa umemshinda eti anataka anipasie umemzidi uzito, eti safari imebakia fupi! Nimeshtuka mzigo huu ushakuwa mzito hata hatua moja kwenda nao taabu, Jamani mzigo huu mzigo hasaa nifanyeje???
I am INSURED by the MAFIA mob, You hit me, We hit you...:israel::whoo::whoo::whoo::whoo:
wewe huoni hilo needle lake? aje kwetu Kigamboni tulinyonye maana we lack madhiwamzigo upi kama!