johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Wakulaumiwa ni mama kwa kuwapa wahuni kuongoza wizara ya nishati na hususan tanesco. Hapo Kipara kashafanya vitu vyake na bila shaka kasepa huku mitego yake nishati iko intact. Watu kama hao hawanaga weledi wala uzalendo. Uroho tu wa madaraka mali ndio muongozo wao. Hapo wamemuachia mshamba atengeneze ili uchaguzi 2025 warejee tena and then watajua tena ujanja gani watumie.Wengi wanashangaa kwanini sasa kuna sintofahamu kubwa kuhusiana na mambo ya Umeme, Petrol na Diesel
Wapendwa jipeni moyo na tuzidi kumuombea kwa Mungu wa mbinguni ndugu Yetu Doto Biteko akapewe Wepesi katika Utendaji wa majukumu yake ya kila Siku
Nawatakia Alhamis yenye baraka π
Hata Wamarekani weusi wale " mbavu nene" ni Wanyamwezi bwashee πKumbe Dotto ni mnyamwezi?? Hapo unyama ni mwingi!! Dotto Biteko Side Mnyamwezi all the best.
NB!! Bajaji ni mpya na nguvu pamoja na uwezo inao, lakini, kuvuta tela la tani 40 kupanda mlima kitonga sidhani!!
Tulipofika sio pa kutafuta Mchawi bali kufanya tobaWakulaumiwa ni mama kwa kuwapa wahuni kuongoza wizara ya nishati na hususan tanesco. Hapo Kipara kashafanya vitu vyake na bila shaka kasepa huku mitego yake nishati iko intact. Watu kama hao hawanaga weledi wala uzalendo. Uroho tu wa madaraka mali ndio muongozo wao. Hapo wamemuachia mshamba atengeneze ili uchaguzi 2025 warejee tena and then watajua tena ujanja gani watumie.
Samia alikurupuka kumtoa kalemani pale nishati... Makamba kashaharibu Mipango yote mizuri ya kalemani
Msoga family siyo watu kabisa wanatutesa
Nakupata mbatizaji, ndo maana nkakwambia Dotto ni Side, yaaani Side MnyamwengaaHata Wamarekani weusi wale " mbavu nene" ni Wanyamwezi bwashee [emoji1]
Wa Kiume !
Wachawi ni sisi wenyewe. Tunaendekeza ubinafsi. Tunaendekeza wizi wa mali za umma bila kushughulikiwa. Tunapenda rushwa etcTulipofika sio pa kutafuta Mchawi bali kufanya toba
Huna akili,Samia alikurupuka kumtoa kalemani pale nishati... Makamba kashaharibu Mipango yote mizuri ya kalemani
Msoga family siyo watu kabisa wanatutesa
Tuache utani Kalemani kaacha alama TANESCO sioni mwingine wa kufit paleWengi wanashangaa kwanini sasa kuna sintofahamu kubwa kuhusiana na mambo ya Umeme, Petrol na Diesel
Wapendwa jipeni moyo na tuzidi kumuombea kwa Mungu wa mbinguni ndugu Yetu Doto Biteko akapewe Wepesi katika Utendaji wa majukumu yake ya kila Siku
Nawatakia Alhamis yenye baraka π
π€£π€£ Nakuona makamba unavyoumia ukisikia akitajwa anayekuzidi uwezoHuna akili,
Atarudishwa Uchaguzi ukikaribiaTuache utani Kalemani kaacha alama TANESCO sioni mwingine wa kufit pale
Mtaomba mpaka mchubuke ngozi za magoti ila kama hakuna Trilioni 4 walizotaka Tanesco umeme hautakuja kukoma kukatika hapa Tanzania hata kama Mwakani umeme wa bwawa unaanza ambao napo ni mtambo mmja tuu ndio utawashwa.Wengi wanashangaa kwanini sasa kuna sintofahamu kubwa kuhusiana na mambo ya Umeme, Petrol na Diesel
Wapendwa jipeni moyo na tuzidi kumuombea kwa Mungu wa mbinguni ndugu Yetu Doto Biteko akapewe Wepesi katika Utendaji wa majukumu yake ya kila Siku
Nawatakia Alhamis yenye baraka π
Hakuna mafisadi hayatakubaliAtarudishwa Uchaguzi ukikaribia
Trilioni 4 labda wakalime mpunga Mbarali kwa akina Abdul Nondo ππMtaomba mpaka mchubuke ngozi za magoti ila kama hakuna Trilioni 4 walizotaka Tanesco umeme hautakuja kukoma kukatika hapa Tanzania hata kama Mwakani umeme wa bwawa unaanza ambao napo ni mtambo mmja tuu ndio utawashwa.
Alafu uchaguzi ukiisha ataondolewa kama kawa watu waendelee na michongo ya mgao kama kawa!!Atarudishwa Uchaguzi ukikaribia