Danielmwasi
JF-Expert Member
- May 3, 2021
- 2,134
- 3,834
Straight to the point.
Bro wangu alizinguana na mke wake, home kwake akueleweki kabisa, alafu kukununua anaogopa magonjwa, akawa anatafuta mchepuko, kahustle sana, akanishtua mdogo wake . Ni mlink na University girls na watu nawajua, tukaanza mission tembelea bar na vijiwe vyote Dodoma, kila siku tupo mtaani, ni mimi Nisiye na ndoa ilikuwa simple sana kwa Hawa vijana.
Yeye kila akilusha mistari wanachomoa, maswali mengi Sana na usumbufu mwingi . Ndani ya 2 weeks kama 1m imekata mchepuko wa maana hana. Mimi nilikuwa busy na shule . Ila nilimpa number nyingi sana za kujaribu . Wote tulikuwa na usafiri, nilimtambulisha hadi na mamiss Universities , wanachomoa. Ili mchukua miezi 3, akapata single mother mmoja pisi kali kikuyu huko tena by accident. Akiwa safarini. Akatulia nae . Maana wife wake alikuwa kisilani sana.
MY TAKE :
Usione mtu anaLinda mchepuko wake, kupata mchepuko unao muheshimu mke wako kazi sana. Ni wachache sana wapo na wenye bahati tu wanapata. Ukiona mtu anaMpigania mchepuko wake kaa kwa kutulia, ujui hustle. Ukikua utajua.
Bro wangu alizinguana na mke wake, home kwake akueleweki kabisa, alafu kukununua anaogopa magonjwa, akawa anatafuta mchepuko, kahustle sana, akanishtua mdogo wake . Ni mlink na University girls na watu nawajua, tukaanza mission tembelea bar na vijiwe vyote Dodoma, kila siku tupo mtaani, ni mimi Nisiye na ndoa ilikuwa simple sana kwa Hawa vijana.
Yeye kila akilusha mistari wanachomoa, maswali mengi Sana na usumbufu mwingi . Ndani ya 2 weeks kama 1m imekata mchepuko wa maana hana. Mimi nilikuwa busy na shule . Ila nilimpa number nyingi sana za kujaribu . Wote tulikuwa na usafiri, nilimtambulisha hadi na mamiss Universities , wanachomoa. Ili mchukua miezi 3, akapata single mother mmoja pisi kali kikuyu huko tena by accident. Akiwa safarini. Akatulia nae . Maana wife wake alikuwa kisilani sana.
MY TAKE :
Usione mtu anaLinda mchepuko wake, kupata mchepuko unao muheshimu mke wako kazi sana. Ni wachache sana wapo na wenye bahati tu wanapata. Ukiona mtu anaMpigania mchepuko wake kaa kwa kutulia, ujui hustle. Ukikua utajua.