Traveller X
JF-Expert Member
- May 2, 2017
- 271
- 305
Mnaweza mkanikosoa tu wadau lakini nimekua na naendelea kufatilia kukua na kushuka kwa mziki wetu "BongoFlava" lakini pia nafatilia sana mziki kutoka "Nigeria" SouthAfrica" pamoja na huko "Mbele" na kwa kipindi cha mwanzo nlikua nahisi pengine ni "Lugha" yetu ndo inatufanya tusipenye zaidi kwenye nchi nyingi za afrika na duniani lakini nkagundua hapana sio lugha kwasababu kuna nchi wanaongea lugha hata hazieleweki lakini mziki wao unachezwa na kusikilizwa duniani kote sasa kwanini huu wabongo haupenyi huko mbele kulinganisha na mziki wa south africa na nigeria?
Pengine ni mashairi? Lakini hapa napo nkaja kugundua kua bongo kuna watu wanajua kupanga mashairi vizuri kuliko hata hao wanigeria sasa kwanini hatutoboi kwa wingi? chukulia nyimbo ya Davido hii mpya inaitwa "Fall" sikiliza kwa makini mashairi yake yani ni vitu vya kawaida tu anaongea humo ndani, "Mara banana follow you" yani vitu vya ajabu tu
Alaf njoo linganisha na ngoma labda ya "Ben Pol" tu "Moyo Mashine" ambayo ukiskiliza mashairi nikweli yamepangwa na yakapangika
Sasa kwanini ya ben pol haijatoboa afrika nzima kama hii ya davido inavyozidi kutoboa??
Bado naendelea kujiuliza lakin nilichogundua kwa haraka haraka ni "BEATS" zinatuangusha sana tena sana,Wanaigeria wanabebwa kwa asilimia 90 na beats zao na kusema ukweli wanajua kutengeneza beats zikakufanya ucheze tu hata kama hutak,
Chukulia mfano mdogo tu wa hii ngoma ya underground wa nigeria inaitwa "Gimme Love" ya dogo mmoja anitwa "ryan" isikilize hyo beat utasema jamaa ni bonge la star kumbe ni underground tu lakini hyo beat ni balaa
Alaf njoo kwa underground wetu huku utakuta ana mashairi mazuri tu lakini kwa hizi beat zetu inakua kazi yote ni zero tu
Kwangu mimi naona tatizo liko kwa ma Producer wetu hawatupi vitu ambavyo vinashawishi kila mtu kusikiliza, Sijajua kwenu nyie wadau mnaona tatizo liko wapi????
Pengine ni mashairi? Lakini hapa napo nkaja kugundua kua bongo kuna watu wanajua kupanga mashairi vizuri kuliko hata hao wanigeria sasa kwanini hatutoboi kwa wingi? chukulia nyimbo ya Davido hii mpya inaitwa "Fall" sikiliza kwa makini mashairi yake yani ni vitu vya kawaida tu anaongea humo ndani, "Mara banana follow you" yani vitu vya ajabu tu
Alaf njoo linganisha na ngoma labda ya "Ben Pol" tu "Moyo Mashine" ambayo ukiskiliza mashairi nikweli yamepangwa na yakapangika
Sasa kwanini ya ben pol haijatoboa afrika nzima kama hii ya davido inavyozidi kutoboa??
Bado naendelea kujiuliza lakin nilichogundua kwa haraka haraka ni "BEATS" zinatuangusha sana tena sana,Wanaigeria wanabebwa kwa asilimia 90 na beats zao na kusema ukweli wanajua kutengeneza beats zikakufanya ucheze tu hata kama hutak,
Chukulia mfano mdogo tu wa hii ngoma ya underground wa nigeria inaitwa "Gimme Love" ya dogo mmoja anitwa "ryan" isikilize hyo beat utasema jamaa ni bonge la star kumbe ni underground tu lakini hyo beat ni balaa
Alaf njoo kwa underground wetu huku utakuta ana mashairi mazuri tu lakini kwa hizi beat zetu inakua kazi yote ni zero tu
Kwangu mimi naona tatizo liko kwa ma Producer wetu hawatupi vitu ambavyo vinashawishi kila mtu kusikiliza, Sijajua kwenu nyie wadau mnaona tatizo liko wapi????