Rungu
JF-Expert Member
- Feb 23, 2007
- 3,932
- 1,726
Nimezidiwa na penzi la punda - adai Mzimbabwe!
HARARE, Oct 26 - Mkazi mmoja wa mji wa Zvishavane, takribani maili 185 kusini mwa Harare anatuhumiwa kumlawiti/kufanya ngono na punda. Lakini kwa hali isiyo ya kawaida mtuhumiwa huyo amedai kuwa ajuacho yeye ni kwamba alimlipa changudoa dola 25 jumamosi usiku na alipoamka jumapili yule changudoa alikuwa amegeuka kuwa punda.
"Sijui ni kitu gani kilichotokea baada ya kuondoka baa usiku wa tukio. Nafikiri na mimi nimegeuka kuwa punda. Kwa hivi sasa nimezidiwa na penzi na huyu punda", mkazi huyo ajulikanaye kwa jina la Sunday Moya alimwambia hakimu mkazi, kufuatana na gazeti la The Herald.
Moyo ambaye ana umri wa miaka 28 amefunguliwa shtaka la kufanya ngono na mnyama (bestiality) na mahakama imetoa amri akachunguzwe akili yake kama iko timamu. Moyo alikamatwa akifanya uchafu huo jumapili iliyopita.
Imeripotiwa na Capital FM
HARARE, Oct 26 - Mkazi mmoja wa mji wa Zvishavane, takribani maili 185 kusini mwa Harare anatuhumiwa kumlawiti/kufanya ngono na punda. Lakini kwa hali isiyo ya kawaida mtuhumiwa huyo amedai kuwa ajuacho yeye ni kwamba alimlipa changudoa dola 25 jumamosi usiku na alipoamka jumapili yule changudoa alikuwa amegeuka kuwa punda.
"Sijui ni kitu gani kilichotokea baada ya kuondoka baa usiku wa tukio. Nafikiri na mimi nimegeuka kuwa punda. Kwa hivi sasa nimezidiwa na penzi na huyu punda", mkazi huyo ajulikanaye kwa jina la Sunday Moya alimwambia hakimu mkazi, kufuatana na gazeti la The Herald.
Moyo ambaye ana umri wa miaka 28 amefunguliwa shtaka la kufanya ngono na mnyama (bestiality) na mahakama imetoa amri akachunguzwe akili yake kama iko timamu. Moyo alikamatwa akifanya uchafu huo jumapili iliyopita.
Imeripotiwa na Capital FM