Jamaa anasema kwamba:
Jana alienda kwa mpenzi wake ambaye ki-umri anakaribiana na Lulu sema tu girlfriend wake ana miaka 22
,sasa katika ku-make luv jogoo akashindwa kupanda mtungi,so jamaa akaconlud ni uchovu wa mikutano aliyoudhuria ya CDM,lkn kesho yake akaenda tena kwa mpenzi wake katikati ya malovidavi demu wake akamuwekea mkono shingoni so ile pressure ya mkono akaisi labda anakabwa so jogoo tena akalala,mwisho anatoa maoni yake kwamba mabinti wadogo wadogo wenye age za kina lulu wataachwa sana na maboyzfriend wao kwa ajili ya tukio la binti lulu.