M Mario Kejob JF-Expert Member Joined Apr 14, 2020 Posts 441 Reaction score 536 Oct 26, 2020 #1 Kutokuwepo kwa Chama limekuwa ni pengo kubwa katika club hiyo na kuwafanya wachezaji kucheza bila ya kujiamini. Hili likiendelea litapelekea kwa Simba kuwa na msimu mbaya.
Kutokuwepo kwa Chama limekuwa ni pengo kubwa katika club hiyo na kuwafanya wachezaji kucheza bila ya kujiamini. Hili likiendelea litapelekea kwa Simba kuwa na msimu mbaya.
Pdidy JF-Expert Member Joined Nov 22, 2007 Posts 57,951 Reaction score 32,619 Oct 26, 2020 #2 Jana nimebeba udongo ukaombewa kuanzia Leo maadui ZAKO watapigwa na kuchanwa chanwa naona RUVU Walikuwa na mm Kwa Mwamposa
Jana nimebeba udongo ukaombewa kuanzia Leo maadui ZAKO watapigwa na kuchanwa chanwa naona RUVU Walikuwa na mm Kwa Mwamposa
M Mario Kejob JF-Expert Member Joined Apr 14, 2020 Posts 441 Reaction score 536 Oct 26, 2020 Thread starter #3 Wawa is the culprit.
Ngwega JF-Expert Member Joined Aug 6, 2019 Posts 589 Reaction score 632 Oct 26, 2020 #4 Simba ni kama pombe ya ngomani tu