MR miyagi8771
Member
- Mar 27, 2023
- 29
- 48
leo nimeota TEAM ya taifa stars itaibuka na ushindi wa(GOALS 3-1) dhidi ya TEAM ya taifa ya Ethiopia. Na miongoni mwa izo(GOALS 3) MZIZE atatupia chuma mbili (2GOALS)
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamaa huamini kabisa kama Mzize atalibeba taifa leo. 😆🤣Badilisha Upande au Shuka..
Jamaa huamini kabisa kama Mzize atalibeba taifa leo.
Clement Mzize mtampa lini heshima yakeBadilisha Upande au Shuka..
Tumeshachelewa sana Kumheshimisha.. we fikiria eti tunakuja kumfaham kwenye Timu ya Taifa ya Wakubwa tuu.. hizi ndogondogo alikuaga wapi..?Clement Mzize mtampa lini heshima yake
baada ya match utarudi kuuamkia huu uzi.Hio ganja ulovuta ongeza nyingine
Mpira saa ngapi na kikosi kikoje kumbe saa 1 niataenda kwenye uwanja wenye watu wengileo nimeota TEAM ya taifa stars itaibuka na ushindi wa(GOALS 3-1) dhidi ya TEAM ya taifa ya Ethiopia. Na miongoni mwa izo(GOALS 3) MZIZE atatupia chuma mbili (2GOALS)
Acha kutumia sigara bwegeleo nimeota TEAM ya taifa stars itaibuka na ushindi wa(GOALS 3-1) dhidi ya TEAM ya taifa ya Ethiopia. Na miongoni mwa izo(GOALS 3) MZIZE atatupia chuma mbili (2GOALS)
Katupia 4Badilisha Upande au Shuka..
Streka la Wydad Casablanca lenye thamani ya bilioni 2 😀leo nimeota TEAM ya taifa stars itaibuka na ushindi wa(GOALS 3-1) dhidi ya TEAM ya taifa ya Ethiopia. Na miongoni mwa izo(GOALS 3) MZIZE atatupia chuma mbili (2GOALS)
Streka la Wydad Casablanca lenye thamani ya bilioni 2 😀
hastahili, anatakiwa atolewe bure kwa mkopoClement Mzize mtampa lini heshima yake