ubarinolutu
JF-Expert Member
- Oct 22, 2012
- 2,424
- 4,954
Kwanza kabisa hawa wote ni vijana wadogo, Elie Mpanzu ana miaka 22, na Mzinze ana miaka 22, Kiuhalisia Mzize ana mafanikio makubwa sana kuliko mpanzu, hata ubora wa uwanjani bado Mzize yupo juu, hapa chini ni strength zao, sasa angalieni nani fundi:
1. Scoring capability (Uwezo wa Kufunga): Katika sekta hii mzinze yupo juu kwani ukilinganisha takwimu za Mpanzu na Mzize katika misimu miwili iliyopita, Mzize ana magoli mengi kuliko elie Mpanzu.
2. Aerial Threat (Uwezo wa Kucheza na Kichwa): Mzize ni 6ft tall, wakati Mpanzu ni 5 FT 6 inches Tall (Mbilikimo), katika mipira ya kucheza na kichwa mzize amemzidi mbali sana elie Mpanzu, na ameshafunga magoli mengi sana ya kutumia kichwa, kwakuwa ni jitu refu kama Lijerumani.
3. Nguvu/Strengh: Mzize ni jitu lenye miraba minne, na limeenda juu, elie mpanzu ni mfupi wa kimo na hana nguvu kufikia za mzize.
4. Left foot/right foot combined strenght (Uwezo wa kutumia miguu yote): Katika hili ya uwezo wakutumia miguu yote , Mzize amemuacha mbali sana Mpanzu, ni hiv Mpanzu ni predominantly anatumia mguu wa Kulia, wakati mtaalamu Mzize anatumia miguu yote miwili, kitu ambacho ni wachezaji wachache sana wana baraka hiyo , mfano Carzola, Zidane, Rosicky, Mzize ana wezakudribble kwa miguu yote miwili.
5. Speed /Kasi: Katika Hili bado mzize anamzidi mpanzu, kwakuwa Mpanzu anasifika kuwa na quick short busrt of speed au acceleration kama aliyokuwa nayo messi, lakini Mzize na ana speed kubwa kama aliyokuwanayo ronaldo na mbappe, au alfonso daves, ukitaka kujua hili kaulize uwanja wa mazoezi wa Yanga.
6. Football Skills: Hapa Bodaboda; Mzize anakalishwa kiukweli Mpanzu ni mtu aliyejaaliwa skills za mpira ni hatari katika sekta hiyo.
7. Football IQ: Hapa bado mpanzu anaendelea kuwa juu, kumzidi boda boda Mzize, Mpanzu amejaaliwa football IQ Kubwa.
8. Defensive Ability/ Uwezo wa kuzuia: Hapa Ukweli ni kuwa mzize ni mkabaji mzuri mbali sana kuliko Mpanzu, hivyo katika nyanja hii ya kuisaidia timu kuzuia bado mzize yupo Juu.
Kufuatia vipengele nane hapo juu vilivyochambuliwa kitaalamu na kwa kuangalia uwezo wa kila mmoja bila kumpendelea, nakiri kusema kati ya vipengele nane muhimu Mzize ameibuka juu katika vipengele 6 na Mpanzu ameibuka juu katika vipengele 2; Hivyo kiuwezo Mzize yupo juu kwa Asilia 75 wakati Mpanzu yupo juu kwa asilimia 25 tu.
Hivyo tuendelee kusubiri mpaka tarehe 10/08/24 tuone kama Elie Mpanzu atatangazwa kujiunga na Club yoyote hapa na most likely atajiunga Simba au Yanga sioni club nyingine ambayo atajiunga.
Nitaleta Post ingine ya Kulinganisha Uwezo wa Winga Kibu Denis, na Max Mpia Nzengeli.
1. Scoring capability (Uwezo wa Kufunga): Katika sekta hii mzinze yupo juu kwani ukilinganisha takwimu za Mpanzu na Mzize katika misimu miwili iliyopita, Mzize ana magoli mengi kuliko elie Mpanzu.
2. Aerial Threat (Uwezo wa Kucheza na Kichwa): Mzize ni 6ft tall, wakati Mpanzu ni 5 FT 6 inches Tall (Mbilikimo), katika mipira ya kucheza na kichwa mzize amemzidi mbali sana elie Mpanzu, na ameshafunga magoli mengi sana ya kutumia kichwa, kwakuwa ni jitu refu kama Lijerumani.
3. Nguvu/Strengh: Mzize ni jitu lenye miraba minne, na limeenda juu, elie mpanzu ni mfupi wa kimo na hana nguvu kufikia za mzize.
4. Left foot/right foot combined strenght (Uwezo wa kutumia miguu yote): Katika hili ya uwezo wakutumia miguu yote , Mzize amemuacha mbali sana Mpanzu, ni hiv Mpanzu ni predominantly anatumia mguu wa Kulia, wakati mtaalamu Mzize anatumia miguu yote miwili, kitu ambacho ni wachezaji wachache sana wana baraka hiyo , mfano Carzola, Zidane, Rosicky, Mzize ana wezakudribble kwa miguu yote miwili.
5. Speed /Kasi: Katika Hili bado mzize anamzidi mpanzu, kwakuwa Mpanzu anasifika kuwa na quick short busrt of speed au acceleration kama aliyokuwa nayo messi, lakini Mzize na ana speed kubwa kama aliyokuwanayo ronaldo na mbappe, au alfonso daves, ukitaka kujua hili kaulize uwanja wa mazoezi wa Yanga.
6. Football Skills: Hapa Bodaboda; Mzize anakalishwa kiukweli Mpanzu ni mtu aliyejaaliwa skills za mpira ni hatari katika sekta hiyo.
7. Football IQ: Hapa bado mpanzu anaendelea kuwa juu, kumzidi boda boda Mzize, Mpanzu amejaaliwa football IQ Kubwa.
8. Defensive Ability/ Uwezo wa kuzuia: Hapa Ukweli ni kuwa mzize ni mkabaji mzuri mbali sana kuliko Mpanzu, hivyo katika nyanja hii ya kuisaidia timu kuzuia bado mzize yupo Juu.
Kufuatia vipengele nane hapo juu vilivyochambuliwa kitaalamu na kwa kuangalia uwezo wa kila mmoja bila kumpendelea, nakiri kusema kati ya vipengele nane muhimu Mzize ameibuka juu katika vipengele 6 na Mpanzu ameibuka juu katika vipengele 2; Hivyo kiuwezo Mzize yupo juu kwa Asilia 75 wakati Mpanzu yupo juu kwa asilimia 25 tu.
Hivyo tuendelee kusubiri mpaka tarehe 10/08/24 tuone kama Elie Mpanzu atatangazwa kujiunga na Club yoyote hapa na most likely atajiunga Simba au Yanga sioni club nyingine ambayo atajiunga.
Nitaleta Post ingine ya Kulinganisha Uwezo wa Winga Kibu Denis, na Max Mpia Nzengeli.