TIBA: Weka macho yawe safi na uyakoshe kwa maji ya waridi kila wakati. Epusha macho kutokana na joto, baridi, moshi, vumbi, macho yasitumie nguvu sana kama vile kusoma sana. Tumia dawa za kulainisha choo ikiwa hupati choo vizuri kwa sababu pia huchangia katika maumivu ya kichwa na macho.awe pia anakula karoti.habarini za leo wakuu, kuna mtoto wa dada yangu ameumia akiwa anacheza na wenzake, hajaumia ndani ya jicho lakini damu zimevilia kwa ndani, anaona vizuri lakina tatizo ni macho yote mekundu kama damu amepewa dawa hospitalini ni mwezi sasa, hakuna mabadiliko.yeyote anayejua dawa asilia anisaidie niweze kumsaidia.
[h=2][/h]habarini za leo wakuu, kuna mtoto wa dada yangu ameumia akiwa anacheza na wenzake, hajaumia ndani ya jicho lakini damu zimevilia kwa ndani, anaona vizuri lakina tatizo ni macho yote mekundu kama damu amepewa dawa hospitalini ni mwezi sasa, hakuna mabadiliko.yeyote anayejua dawa asilia anisaidie niweze kumsaidia.