Kurzweil
JF-Expert Member
- May 25, 2011
- 6,621
- 8,411
ENGLAND: Klabu ya Manchester United imetangaza kumsajili Mshambuliaji Alexis Sanchez kutoka Klabu ya Arsenal
Katika makubaliano hayo yamehusisha Kiungo raia wa Armenia, Henrikh Mkhitaryan kujiunga na Arsenal FC kutoka Manchester United
Sanchez mwenye miaka 29 na raia wa Chile ambaye alihusishwa kujiunga Manchester City kwa kipindi kirefu amesaini kuwatumikia Mashetani hao Wekundu kwa kandarasi ya miaka minne na nusu
======
Manchester City last summer, has signed a four-and-a-half-year deal.
City decided earlier this month that they would not pursue their interest in him as they felt making him their best-paid player may affect team morale.
Mkhitaryan, 29, moves in the opposite direction to Sanchez after scoring 13 goals in 63 appearances for United.
The Armenia international moved to Old Trafford from Borussia Dortmund for £26.3m in July 2016.
He has made only 10 Premier League starts this season, and it is understood there was a breakdown in trust between him and Mourinho.
BBC Sports
Katika makubaliano hayo yamehusisha Kiungo raia wa Armenia, Henrikh Mkhitaryan kujiunga na Arsenal FC kutoka Manchester United
Sanchez mwenye miaka 29 na raia wa Chile ambaye alihusishwa kujiunga Manchester City kwa kipindi kirefu amesaini kuwatumikia Mashetani hao Wekundu kwa kandarasi ya miaka minne na nusu
======
Manchester City last summer, has signed a four-and-a-half-year deal.
City decided earlier this month that they would not pursue their interest in him as they felt making him their best-paid player may affect team morale.
Mkhitaryan, 29, moves in the opposite direction to Sanchez after scoring 13 goals in 63 appearances for United.
The Armenia international moved to Old Trafford from Borussia Dortmund for £26.3m in July 2016.
He has made only 10 Premier League starts this season, and it is understood there was a breakdown in trust between him and Mourinho.
BBC Sports