ngara23
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 9,091
- 21,087
Hii ilikuwa Moja ya derby kubwa hapa Tanzania baada ya Ile ya Simba. Vs Yanga
Ila Kwa Sasa ni kama mechi ya kawaida kabisa, watu hawana habari nayo
Bado siku 1 hii derby ipigwe lakini hakuna anayejali,
Watu wanaongelea mechi Mashujaa vs Yanga, hii imesikitisha sana
Inasemekana kitu kilichoouwa hii derby ni matukio ya kupanga matokeo,
Inasemekana Azam Huwa anawaachia Simba kufunga ili kama njia ya kufanya awe bingwa kirahisi ili urafiki wao udumu
Tukumbuke Azam alitoka wachezaji wake kwenda kuwasidia Simba kuwa bingwa
Erasto Nyoni
Paschal Wawa
Shomari Kapombe
Aishi Manula
John Boko
Pia inasemekana Azam watawazadia Simba wachezaji 2 hatari yaani Feitoto na Sillah msimu ujao
Wachezaji wa zamani wa Azam Amri kiemba na Dube waliweka wazi kuwa Azam fc- Huwa anafihia kufungwa na Simba na siku ya mechi ya Simba Azam Huwa hawajiandai kabisa
Tusishangae hiyo mechi hata uwanja wa Azam complex usikae, maana mashabiki tunajua kuwa Azam anaenda kumpa point mnyama wala hatajisumbua
Ila Kwa Sasa ni kama mechi ya kawaida kabisa, watu hawana habari nayo
Bado siku 1 hii derby ipigwe lakini hakuna anayejali,
Watu wanaongelea mechi Mashujaa vs Yanga, hii imesikitisha sana
Inasemekana kitu kilichoouwa hii derby ni matukio ya kupanga matokeo,
Inasemekana Azam Huwa anawaachia Simba kufunga ili kama njia ya kufanya awe bingwa kirahisi ili urafiki wao udumu
Tukumbuke Azam alitoka wachezaji wake kwenda kuwasidia Simba kuwa bingwa
Erasto Nyoni
Paschal Wawa
Shomari Kapombe
Aishi Manula
John Boko
Pia inasemekana Azam watawazadia Simba wachezaji 2 hatari yaani Feitoto na Sillah msimu ujao
Wachezaji wa zamani wa Azam Amri kiemba na Dube waliweka wazi kuwa Azam fc- Huwa anafihia kufungwa na Simba na siku ya mechi ya Simba Azam Huwa hawajiandai kabisa
Tusishangae hiyo mechi hata uwanja wa Azam complex usikae, maana mashabiki tunajua kuwa Azam anaenda kumpa point mnyama wala hatajisumbua