Watu kama wewe mleta uzi ndio mnafanya wasomi wa nchi hii wa dharaulike.Naomba kuulizxa kwarange yamsihshara kwa maafisa afya,mazingia au maafisa jamii wanaoajiliwa migoding range yasalary ni sha ngapi?
je kunamalulupu gani ya ziada?
Je maisha ya kufanya kazi migodini kwa nafasi hizo ukilinganisha na kufanya kazi kwenye NGOs wapi bora? naomba ushauri
MIGODI YA MADINI MIKUBWA ILIYOWEKWEZWA HAPA NCHINIMigodi ipi kwanza?? tujuze kabla hatujajibu tofaouti...
Weka connection hapa kwanzaMIGODI YA MADINI MIKUBWA ILIYOWEKWEZWA HAPA NCHINI
SikuelewiWeka connection hapa kwanza
acha uchochezi chaliiHapo kuna jamaa yako kapata kazi unataka ujue mshahara wake ili uanze kumpiga vizinga.
Unaulizia mshahara hata kazi hujapataNaomba kuulizxa kwa range yamsihshara kwa maafisa afya, mazingia au maafisa jamii wanaoajiliwa migoding range yasalary ni sha ngapi?
Je, kunamalulupu gani ya ziada?
Je, maisha ya kufanya kazi migodini kwa nafasi hizo ukilinganisha na kufanya kazi kwenye NGOs wapi bora?
Naomba ushauri.
Nikweli..hakuna aliyeoa mrejeshoHakuna yenye WATU WASIRI kama Tanzania hasa kwenye issue zenye MASLAHI.
Taarifa nyingi utakazoziona ni propaganda uchwara na siasa koko, ila huwezi kujua taarifa muhimu kabisa unless upate mtu wako wa karibu sana ambaye atakwambiua ila siyo MITANDAONI.