Mzozo wa Ukraine: Wakaguzi wawasili kwenye kinu cha nyuklia cha Zaporizhzhia

Mzozo wa Ukraine: Wakaguzi wawasili kwenye kinu cha nyuklia cha Zaporizhzhia

Mbaga Lazaro

Senior Member
Joined
Aug 9, 2020
Posts
132
Reaction score
108
Wakaguzi wa Shirika la Kimataifa la Nishati ya Atomiki wamefika katika kinu cha nyuklia cha Zaporizhzhia kusini mashariki mwa Ukraine, shirika la habari la Reuters linaripoti.

Mwandishi wa habari kutoka shirika la habari aliwaona maafisa Umoja wa Mataifa wakiwasili kwenye mtambo huo wakiwa katika msafara mkubwa wa wanajeshi wa Urusi .

Kampuni ya nyuklia ya serikali ya Ukraine Energoatom pia inathibitisha kuwa ujumbe wa IAEA umefika katika eneo hilo.
#Bbc
 
Wakaguzi wa Shirika la Kimataifa la Nishati ya Atomiki wamefika katika kinu cha nyuklia cha Zaporizhzhia kusini mashariki mwa Ukraine, shirika la habari la Reuters linaripoti.

Mwandishi wa habari kutoka shirika la habari aliwaona maafisa Umoja wa Mataifa wakiwasili kwenye mtambo huo wakiwa katika msafara mkubwa wa wanajeshi wa Urusi .

Kampuni ya nyuklia ya serikali ya Ukraine Energoatom pia inathibitisha kuwa ujumbe wa IAEA umefika katika eneo hilo.
#Bbc
Sadam Husein baada ya kuruhusu wakaguz kutoka hili shirika mzozo uliongezeka badala ya kupungua.

Ngoja tuone kitakachotokea nyakat hizi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watu wanapo sema hii ni vita ya dunia inamaana putin ndio adui namba moja na akisha fyatuliwa putin dunia inabaki salama. sasa sijajua kwanini mpaka saizi wanamchelewesha putin kumfyatua.
Akili mgando ndio huwaza hivyo, wazungu ndio wanapora rasilimali kupitia viongozi corrupt wa Africa na mnawasifia kwakua wana wapa access ya kwenda kwao mpo kama MANGUNGO
 
Watu wanapo sema hii ni vita ya dunia inamaana putin ndio adui namba moja na akisha fyatuliwa putin dunia inabaki salama. sasa sijajua kwanini mpaka saizi wanamchelewesha putin kumfyatua.
Miaka yote Urusi anajiandaa kivita na USA pamoja na nchi zote za Ulaya, wakati huo huo nchi zaidi ya 30 za Ulaya jumlisha USA zinajiandaa kivita dhidi ya Urusi...

Yaana ukichukua Marekani+Ulaya = Urusi moja.
 
Back
Top Bottom