Mzuka

Mzuka

MamaParoko

JF-Expert Member
Joined
Jan 14, 2008
Posts
463
Reaction score
60
mazungumzo kati ya walokole wawili:.................................... Mlokole no 1: Mtumishi unajua kuna pepo mmoja ameshika kasi sana, Mlokole no 2: Ndio mtumishi hata mimi nimeona hilo halafu anatawala kati ya watu wa dini zote, Mlokole no 1: Kabisa mtumishi hasa kwenye mazungumzo wanamtukuza sana, utakuta mtu anamsalimu mwenzake anamwitikia MZUKA........ Mlokole no 2: Ili linahitaji maombi ya kina.
 
Back
Top Bottom