Mbutu Wazagamba
Member
- Aug 13, 2014
- 29
- 8
NASHUKURU KWA USHAURI WAKO MZURI NA WA BUSARA, ASANTE NA MUNGU AKUBARIKI, kama unaweza pia kunielekeza mfumo wake wa ajira karibu, coz nimeambiwa nistarajie ajira milele.
Usijali pamoja sana kijana,
mkuu mnaangalia sehemu gani selection coz cjajua hadi time hii
Wakuu wenye ufahamu na Hii Program, naombeni msaada wenu kuhusu hii program, TCU wamenipeleka kuisoma, na uchumi wetu hauko vizuri kiujumla, nifanye nini juu ya hii program coz ni Non Priority huko heslb, kunauwezekano wa kuibadilisha nikishafika Mzumbe nikachagua yenye Priority? Au kunauwezekano wa kupata MKOPO kwa program hii?
KARIBU KWA MSAADA WENU NA USHAURI BORA
dogo vipi,naomba unijuze umewezaje kuangalia kama umepangiwa huko?nia shida tu ya kujua coz niliapply kwa ajili ya bwana mdogo wangu aliyekuwa jkt wakati nafanya hiyo application.mpaka leo status ya applicationa inasema iko kwenye progress but chini kabisa wameandika kwa maandishi mekundu kuwa "processed successfully.you have been selected".
naomba kujua nawezaje kujua zaidi ya hiki walichokiandika?
MKUU Link ya kuangalia mtu kachaguliwa chuo gani na program gani kwa sasa haipo TCU wamesha ifunga, na nitofauti na profile zile zetu ni new link special kwa kuangalia selection, usisumbuke kupitia kwenye profile yake! It seems jana walikuwa wanatesit system zao coz link hiyo ilifanya kazi kwa takribani dak 45 tu. From saa mbili kama na dakika 50 to saa nne kasoro dakika kadhaa