Mwenyewe nilitaka niulize hvyo hvyo..Hii Mada inatokea wapi tena
Gafla Gafla tuu, Kwani nini kimetokea?
Ulilewaaa?sijala pilau
Aiseee..ata mi nimeshangaa?Hii Mada inatokea wapi tena
Gafla Gafla tuu, Kwani nini kimetokea?
Kwanza nikuulize We unasoma chuo gani? au chuo kidogo cha sala?Mi sijaona tofauti ya mzumbe
Ufundishaji,quality,cheti,na mengineyo ni vike vile tu.
Kampasi yoyote Morogoro,Mbeya na Dar es salaam.
we unaonaje?
Atakae tukana automatically atakua insane and lunatic.CHILL
Kuna watu wamenibishia kuwa eti mzumbe ni moja tu ya morogoro ndo inaonekana mzumbe ila kampasi zilizobaki yan mbeya na dar kama wamesahaulika ndomana nkasema lemme started a thread to ask[emoji23]
Hii Mada inatokea wapi tena
Gafla Gafla tuu, Kwani nini kimetokea?
Sasa unavyo sema zote ni sawa wakati hujasoma zote unamaana gani? si ungemkubalia tu uyo jamaa akaridhika ujue sometimes ubishi bishi usio na tija ni wakuuza au ni kwa vile hatujazi bando kubishana?mbeya
Kuna watu wamenibishia kuwa eti mzumbe ni moja tu ya morogoro ndo inaonekana mzumbe ila kampasi zilizobaki yan mbeya na dar kama wamesahaulika ndomana nkasema lemme started a thread to ask😂
Bila shaka watakujibu waliopiga kitabu Mzumbe.Mi sijaona tofauti ya mzumbe
Ufundishaji,quality,cheti,na mengineyo ni vike vile tu.
Kampasi yoyote Morogoro,Mbeya na Dar es salaam.
we unaonaje?
Atakae tukana automatically atakua insane and lunatic.CHILL
Nilijua unazungumzia Mzumbe ya Wibonele ya wana M.A.V.I kumbe Mzumbe ya IDM???
Mi sijaona tofauti ya mzumbe
Ufundishaji,quality,cheti,na mengineyo ni vike vile tu.
Kampasi yoyote Morogoro,Mbeya na Dar es salaam.
we unaonaje?
Atakae tukana automatically atakua insane and lunatic.CHILL
Waliopita Mzumbe wanaelewa.ndo nn