Mzumbe ni Mzumbe tu

Hujaona tofauti, kwani mkuu umesoma kampasi zote

Achana kampasi tofauti tofauti za Mzumbe

Chuo kikuu, ni chuo kikuu tu

Sent using Jamii Forums mobile app


Malecturer wanaofundisha moro sometimes wanafundisha mbeya.they used to say that there is no different kwa izo campus ila ukija mtaani washkaj wanabishana wanasema ni tofautiπŸ’£πŸ’£πŸ™ŒπŸ»
 
Hujamaliza bado, nachojua uko mwaka wa pili kwa mujibu wa taarifa zako mwenyewe.

Na kama unasoma course ya miaka 2 utakuwa ndo semister ya mwisho.


Sijawahi kutoa taarifa broh, stop being lunatic..sipo first year wala second year.CHEERSπŸ˜‚πŸ₯‚πŸ₯‚πŸ₯‚
 
Nawa kwanza mikono

Ndio Nimenawa

Kuna watu wamenibishia kuwa eti mzumbe ni moja tu ya morogoro ndo inaonekana mzumbe ila kampasi zilizobaki yan mbeya na dar kama wamesahaulika ndomana nkasema lemme started a thread to ask[emoji23]

Ahaaa Kumbe
Si-ungekamilisha Maelezo Sasa
.
Ndio kweli Ni kama Wamesahaulika vile
Hiyo ya Mbeya ndio naiskia kwako [emoji38]
ilibidi iwe Kama DUCE na MKWAWA campus za UDSM haziko nyuma nyuma zinafanya mambo yanaonekana
 
Ninasisitiza

Chuo kikuu ni chuo kikuu tu

Ukienda mtaani na makazini utakuja kukubaliana na hii kauli yangu
Malecturer wanaofundisha moro sometimes wanafundisha mbeya.they used to say that there is no different kwa izo campus ila ukija mtaani washkaj wanabishana wanasema ni tofauti[emoji378][emoji378][emoji1316]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Okay, pole basi kama case iko hivyo.

Kwa vyovyote vile, you don't sound kama mtu aliyeenda shule.


Hilo lisikupe shida broh. By the ways It is your opinionπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Okay, pole basi kama case iko hivyo.

Kwa vyovyote vile, you don't sound kama mtu aliyeenda shule.

And you don’t have to CARE brohπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ’£πŸ’£πŸ’£
 
We si likubwa kabisa lakini..

Sent from my SM-A105G using Tapatalk
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…