Mzumbe ni Mzumbe tu

Kivipi kampasi zote?
 
Endeleeni kupambana na mavyeti na GPA nzuri+quality ya chuo


taasisi kama yetu inahitaji wachapa kazi + nini unacho cha kuweza kuongeza value!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mzumbe Main nipo hapo hila jamaa wanajitahidi elimu safi mtu unasoma kweli hakuna kubebana bebana kama Mbeya

Uswazi chini, Changarawe pombe MJ nakula bata sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na hii karantini hamna cha kufanya✨ ..I just start a thread for fun👏🏻🥀. We Kama upo mad,go and beat a wall 📌shwayn😂😂😂💣💣
 
sio jambo la kucheka,hili ndio jambo linalowaangamiza vijana wengi mwisho wa siku wanabaki na majina ya vyuo pamoja na makaratasi yao na yasuwasaidie kitu halafu hawajui mchawi nani.
hivi assume mimi ndio mwajiri umekuja kuniomba kazi,nitakubali kukupa kazi mtu ambaye hata maneno ya kiswahili unashindwa kuyaandika eti kisa umesoma Mzumbe?who told you?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Njoroge ana chipsi za aina yake
 
Mi sijaona tofauti ya mzumbe
Ufundishaji,quality,cheti,na mengineyo ni vike vile tu.
Kampasi yoyote Morogoro,Mbeya na Dar es salaam.

we unaonaje?

Atakae tukana automatically atakua insane and lunatic.CHILL
Insane and lunatic CHILL
 
Mi sijaona tofauti ya mzumbe
Ufundishaji,quality,cheti,na mengineyo ni vike vile tu.
Kampasi yoyote Morogoro,Mbeya na Dar es salaam.

we unaonaje?

Atakae tukana automatically atakua insane and lunatic.CHILL
Kama hakuna wataalamu wa kutibu corona
Hiyo mzumbe ni takataka

My life is mine to remember
 
Kama hakuna wataalamu wa kutibu corona
Hiyo mzumbe ni takataka

My life is mine to remember

Mzumbe haina course za udaktari mkuu na hata kama ipo ya afya bhasi ni ya management tu 😂😂
 
Mi sijaona tofauti ya mzumbe
Ufundishaji,quality,cheti,na mengineyo ni vike vile tu.
Kampasi yoyote Morogoro,Mbeya na Dar es salaam.

we unaonaje?

Atakae tukana automatically atakua insane and lunatic.CHILL
Umesoma campus zote?

"corona ipo tuchukue tahadhari"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…