Ng`wanakidiku
JF-Expert Member
- Apr 18, 2009
- 1,195
- 232
Zongwe noma sana. kuna jamaa alipata hiyo kitu ilikuwa balaa.zongwe unalikumbuka marcopolo?
Mnakumbuka kuzamia IBM chuo kupata msosi!! Ile mihogo ya breki ya saa nne!!
Wana Mkwawa mpo huku?
Kumodify beans mkuu umenikumbusha watu wa Kigoma walikuwa maarufu sana kwa hilo!Mnamkumbuka Power?
Anasa.
Kibiriti.
''Kumodify'' beans kwa mawese.