mzumbe

hosteli ukiwahi unapata na kawaida mwaka wa kwanza wote lazima mkae ndani ya chuo!! weh ukiwahi lazima upate hosteli ..angalizo: jitahidi kufanya usajili mapema!

pouwer tunashukuru sna je wale ambao wanasoma diploma na cheti nao wanakaa na watu wa degree au.
 
cheti na diploma wote wanakaa off-campus lakini sio wote wanakaaga nje ya chuo wengine hufanya mishe then wanakaa ndani!! but all in all wale direct from TCU lazima Wakae ndani..
 
me pia nimechaguliwa mzumbe ni kiasi gan natakiwa kuwa nacho ili nisajiliwe kama mkopo nikikosa for the first semister
 

Acha mawazo mgando kuna kipi kinakokufanya udharau sopam tunapiga qms account eco law kitu ambacho ni adim kwny vyuo vingine n this makes us best administrators ov u!n panuka kiuelewa ht hz disco zipo kwa xul zote n kuw makin coz huko kwen mnaondoka kwa wing by ur bosss
 
qms mnayosoma nyie sio sawa na school zingine..qmz yenu ni rahisi sanah na kama hutaki me ckulazimishi!!! huwez kuwa boss wangu kama uelewa wako wa kuchambua mambo ni mdogo!!
 
qms mnayosoma nyie sio sawa na school zingine..qmz yenu ni rahisi sanah na kama hutaki me ckulazimishi!!! huwez kuwa boss wangu kama uelewa wako wa kuchambua mambo ni mdogo!!
m nisome qmz tyt nawewe bafu usome nn! lazma kuwe ma specialization after all na deal na ma pub kuwa na uwezo wa kudivers mambo ckutegemea intellectual wa mzumbe uje na maagument ya kipuz! am ur manager n ili nikumanage vzur ndomaana napiga hz qmz na madude mengine
 
unaonekana kama mwanasiasa halafu unapenda siasa!! ngoja nikupe ushindi maana naona kama ume-panic hiv!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…