Mr Penal Code
JF-Expert Member
- Jul 9, 2012
- 823
- 216
hosteli ukiwahi unapata na kawaida mwaka wa kwanza wote lazima mkae ndani ya chuo!! weh ukiwahi lazima upate hosteli ..angalizo: jitahidi kufanya usajili mapema!
cheti na diploma wote wanakaa off-campus lakini sio wote wanakaaga nje ya chuo wengine hufanya mishe then wanakaa ndani!! but all in all wale direct from TCU lazima Wakae ndani..
wewe lazima utakuwa courz za mabinti(HRM, HSM,BBA-MARKETING,, RAM,LGM na nyinginezo) kwa hiyo jipange mdogo wangu utakutana na watu wanaokula applied statistics hawana mda na mambo haya ya net!!! kuna wapaka pouder wenzio wa-medisco ukiondoka kwenu usitangaze mtaani!!!!!:A S 465:
Laki nane for semisterme pia nimechaguliwa mzumbe ni kiasi gan natakiwa kuwa nacho ili nisajiliwe kama mkopo nikikosa for the first semister
m nisome qmz tyt nawewe bafu usome nn! lazma kuwe ma specialization after all na deal na ma pub kuwa na uwezo wa kudivers mambo ckutegemea intellectual wa mzumbe uje na maagument ya kipuz! am ur manager n ili nikumanage vzur ndomaana napiga hz qmz na madude mengineqms mnayosoma nyie sio sawa na school zingine..qmz yenu ni rahisi sanah na kama hutaki me ckulazimishi!!! huwez kuwa boss wangu kama uelewa wako wa kuchambua mambo ni mdogo!!