Mzumbeeee

kijembeee

JF-Expert Member
Joined
Jun 6, 2012
Posts
409
Reaction score
105
stagered ya mzumbe inaboa asikwambie mtu,ukikaa vibaya unaeza ukaacha kusoma,miez mitano nyumban si utani.Mnaopanga kuja mzumbe beware
 
Mbona hiyo likizo ipo poa ukiwa na ishu za kufanya, mi naifurahia hii likizo for now
 
nashauri somo la Ujasiriamali lifundishwe Sekondari ili kuondoa upofu mkubwa kwa vijana wetu.
Waliosema TIME IS MONEY hawakukosea.
Mleta mada JIPANGE kuitumia hiyo miezi kwa faida.
 
tempo shida,kujiajiri mitaji nayo kwa cc choka mbaya ni ndoto,any specific ideas
 
ok. Kama hali ya hewa inaruhusu lima nyanya.
 
mm mtoto wa kota ata sehemu ya kupanda maua hamna
 
Kauze machungwa kijana.
 
Muhimu Kujua ili ujipange vizuri na si kukimbia miezi 5 kwa mtu makini unaweza fanya mambo mengi kwa manufaa yako na jamii yako
 
Vijana wa siku hizi bwana mmekuwa legelege sana halafu wabinafsi, kupewa likizo mnalalamika kama ni adhabu wakati mkikosa nafasi ya vyuoni mnalialia. Mnataka mfanyiwe nini hasa? Je mngeambiwa lazima mpoteze mwaka mzima geshini before kuingia chuo kama enzi za zamani si mngetamani kuzikwa? Shukuru kwa kupata nafasi na ujishughulishe! Utaumia kijana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…