Mzungu amburuza Kortini Nabii Josephat Mwingira na Kimada wake


Hayo maovu kama hayahusishi ngono basi sio maovu?mbona wezi hamkamati ?
 
Padri na kuoa na Dokta wa Kanoni na mke wa mtu, wapi na wapi?

Kuna Mkatoliki ambae ndoa yake inakwisha?
Wewe nawe hovyo kabisa! Natamani wale Boko Haram kule Nigeria wasingewachukua wale watoto wa shule wakaja kukuchukua wewe maana wewe ungeenda kwa ridhaa yako na furaha juu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…