Mzungu Amekuja kutalii Kenya na akaamua kuja kutazama border kati ya Kenya na Tanzania

Mzungu Amekuja kutalii Kenya na akaamua kuja kutazama border kati ya Kenya na Tanzania

Tony254

JF-Expert Member
Joined
May 11, 2017
Posts
16,017
Reaction score
16,431
Huyu mzungu anataka kujua the real authentic experience ya Africa. Yeye anataka kuja kwenye border ya Kenya na Tanzania ili aone jinsi border inavyofanana. Halafu kwenye video inaonyesha wazi kuwa baadhi ya watu wanavuka tu kupitia njia za mkato bila passport yao kuangaliwa. Sasa yule mbunge wa Tanzania aliyekamatwa akitoroka nchini mwao mbona hakutumia njia za mkato? Aliamua tu kupita kwenye border. Angevalia tu kama chokoraa na kuvuka bila kusumbuliwa na mtu yeyote

 
Border yenyewe ni ile ya Isebania
 
ndio sababu tuliwaambia huyo mhuni wa kisiasa tu,msimtilie maanani,ona hata kenya nako kakimbia tena.
 
Mpaka kati ya Marekani na Mexico unaujua ulivyo..mbona watu wanatusua tu bila kugongewa
 
Border yenyewe ni ile ya Isebania
Leo umekuja na UZI tofauti sanaa Tony254
Mm nijuavyo raia wengi wa mipakani. Wana kuwa na umoja ila siasa na sera mbovu ndio zina wagawa, isebania border tofauti na namanga maana isebania kuna patikana watu wenye culture moja ambao. Wawegawanywa na siasa
Lkn namanga pale ni eneo linalo axxomodate watu wa culture tofauti
 
Leo umekuja na UZI tofauti sanaa Tony254
Mm nijuavyo raia wengi wa mipakani. Wana kuwa na umoja ila siasa na sera mbovu ndio zina wagawa, isebania border tofauti na namanga maana isebania kuna patikana watu wenye culture moja ambao. Wawegawanywa na siasa
Lkn namanga pale ni eneo linalo axxomodate watu wa culture tofauti
Isibania hadi kwetu Migori mjini ni dakika 25 kwa gari
 
Huyu mzungu anataka kujua the real authentic experience ya Africa. Yeye anataka kuja kwenye border ya Kenya na Tanzania ili aone jinsi border inavyofanana. Halafu kwenye video inaonyesha wazi kuwa baadhi ya watu wanavuka tu kupitia njia za mkato bila passport yao kuangaliwa. Sasa yule mbunge wa Tanzania aliyekamatwa akitoroka nchini mwao mbona hakutumia njia za mkato? Aliamua tu kupita kwenye border. Angevalia tu kama chokoraa na kuvuka bila kusumbuliwa na mtu yeyote
 
Aliambiwa mlima Kilimanjaro upo Kenya kutaka kuuona akatakiwa avuke Tanzania ndio maana akakagua border ili ajiridhishe ni kweli au alipigwa.
Wakenya acheni kutapeli watalii kwa vivutio vya Tanzania
 
Huyu mzungu anataka kujua the real authentic experience ya Africa. Yeye anataka kuja kwenye border ya Kenya na Tanzania ili aone jinsi border inavyofanana. Halafu kwenye video inaonyesha wazi kuwa baadhi ya watu wanavuka tu kupitia njia za mkato bila passport yao kuangaliwa. Sasa yule mbunge wa Tanzania aliyekamatwa akitoroka nchini mwao mbona hakutumia njia za mkato? Aliamua tu kupita kwenye border. Angevalia tu kama chokoraa na kuvuka bila kusumbuliwa na mtu yeyote


Kawadanganya huyu anaangalia border.

Huyu anaangalia COVID 19, iweje Kenya ipo na wanakufa wamejifunika matambara usoni na Tanzania hawafi, hawana matambara wamejifunika Mungu.

Ni hicho alitaka kushuhudia, kwamba ng'ambo tu hali ni shwari ila huko alipo majanga na watu wanavuka tu bila utaratibu.

Acheni ukilaza wakenya wa kuambiwa kila kitu na mzungu mnakiamini kama kilivyo. Wanawadharau sana hawa wazungu.
 
Kuna sehemu niliwahi kusoma kwamba sheria inaruhusu wakaazi wa mpakani kutengamana kwa umbali usiozidi kilomita kumi pande zote mbili, maana kwamba wanapita pita tu na hata kushirikiana kwenye mambo mengi ya kijamii.
 
Back
Top Bottom