Kino Yves, Ni mfaransa anaezunguka nchi mbali mbali na baiskeli yake ya kulala, Katalii nchi nyingi Afrika kama Misri, Sudan, Ethiopia, Kenya, Uganda, Rwanda, Burundi na sasa yupo Tanzania.
Ni katika muendeleo wa Utalii wake akituonyesha video zake, Baada ya Kigoma - Uvinza kwa sasa kaanza safari nyingine ya Uvinza - Mpandakilometa 200, Ni safari ndefu kaikadiria kutumia siku tatu, kwa siku ya kwanza kapiga peda kilometa 60
Safari kwa baiskeli imekuwa shughuli pevu kwake, barabara ya Uvinza - Mpanda ni ya vumbi na kwa mvua zinazoendelea kuna baadhi ya sehemu kuwa tope, Mazingira ya narabara ni porini
Porini hakuna miji hivyo imebidi alale kwenye hema usiku mzima
Kwenye hema kamkuta nyoka, katika harakati za kumtoa yupo mashakaani kama nyoka kamngata au lah !
Video imewekwa kwa ubora mdogo kuzingatia matumizi kidogo ya bando
Ni katika muendeleo wa Utalii wake akituonyesha video zake, Baada ya Kigoma - Uvinza kwa sasa kaanza safari nyingine ya Uvinza - Mpandakilometa 200, Ni safari ndefu kaikadiria kutumia siku tatu, kwa siku ya kwanza kapiga peda kilometa 60
Safari kwa baiskeli imekuwa shughuli pevu kwake, barabara ya Uvinza - Mpanda ni ya vumbi na kwa mvua zinazoendelea kuna baadhi ya sehemu kuwa tope, Mazingira ya narabara ni porini
Porini hakuna miji hivyo imebidi alale kwenye hema usiku mzima
Kwenye hema kamkuta nyoka, katika harakati za kumtoa yupo mashakaani kama nyoka kamngata au lah !
Video imewekwa kwa ubora mdogo kuzingatia matumizi kidogo ya bando