Daaaaah ila some time wabongo tunazingua.....imagine jamaa anajisikiaje. Coz mitandaon hii picha inatrend kinyama[emoji23][emoji23][emoji23]Mi huyu mzungu namuonea huruma kwakweli, sijui kama ataweza kuhimili akili za kibongo masikini....namuonea huruma
Na humu jf weee ndio unamtrendisha balaa hadi huruma, atajuta kuja tz atajuta kuwajua watzDaaaaah ila some time wabongo tunazingua.....imagine jamaa anajisikiaje. Coz mitandaon hii picha inatrend kinyama[emoji23][emoji23][emoji23]
Nyie mashabiki maandazi mnazingua....isitoshe nyie Utopolo ndio mnaongoza kumtupia mawe strikerPage iliyo Post picha yake.....View attachment 2344516
Mpe uchiMi huyu mzungu namuonea huruma kwakweli, sijui kama ataweza kuhimili akili za kibongo masikini....namuonea huruma
Nisaidie kumpaMpe uchi
Mzungu nae Si yumo humu jfNa humu jf weee ndio unamtrendisha balaa hadi huruma, atajuta kuja tz atajuta kuwajua watz