Muke Ya Muzungu
JF-Expert Member
- Jun 17, 2009
- 3,444
- 265
Habari za kusikitisha kutoka kampuni ya kijerumani iliyopo hapa hapa Dar inayoitwa STRABAG, Zinasema kwamba, mdada mmoja mtanzania alilazimishwa na mzungu kufanya mapenzi na mbwa wake. Kitendo hiki kimekuwa kikiendelea kwa muda wa miezi miwili sasa, lakini kutokana na aibu na pia kuogopa kufukuzwa kazi, mdada amekuwa kimya akiwa na maumivu makali ya kisaikolojia. Inasemekana mzungu amekuwa akimpa Tsh. 10,000 kila anapolala na mbwa. Serikali yetu iko wapi?
Habari za kusikitisha kutoka kampuni ya kijerumani iliyopo hapa hapa Dar inayoitwa STRABAG, Zinasema kwamba, mdada mmoja mtanzania alilazimishwa na mzungu kufanya mapenzi na mbwa wake. Kitendo hiki kimekuwa kikiendelea kwa muda wa miezi miwili sasa, lakini kutokana na aibu na pia kuogopa kufukuzwa kazi, mdada amekuwa kimya akiwa na maumivu makali ya kisaikolojia. Inasemekana mzungu amekuwa akimpa Tsh. 10,000 kila anapolala na mbwa. Serikali yetu iko wapi?
mkuu, hii ni zaidi ya haki za wanyama. unadhani binadamu kulazimishwa kulala na mgeni ni raha, alafu mbaya zaidi analala na mbwa akirekodiwa kwenye video
Habari za kusikitisha kutoka kampuni ya kijerumani iliyopo hapa hapa Dar inayoitwa STRABAG, Zinasema kwamba, mdada mmoja mtanzania alilazimishwa na mzungu kufanya mapenzi na mbwa wake huku akirekodiwa kwenye video. Kitendo hiki kimekuwa kikiendelea kwa muda wa miezi miwili sasa, lakini kutokana na aibu na pia kuogopa kufukuzwa kazi, mdada amekuwa kimya akiwa na maumivu makali ya kisaikolojia. Inasemekana mzungu amekuwa akimpa Tsh. 10,000 kila anapolala na mbwa. Serikali yetu iko wapi?