Mzunguko siku 28, zipi ziku zake za hatari?

Ziltan

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2011
Posts
2,672
Reaction score
6,880
Kuanzia siku ya ngapi tangu atoke MP ndio siku za hatari?
Ahsanteni wadau.
 
tafta thread hii ktk usanja huu huu umeelezwa zaid ya mara 3.... sku za kuconsv n kuanzia sku ya 11-16..
 
Kuanzia siku ya ngapi tangu atoke MP ndio siku za hatari?
Ahsanteni wadau.
TAREHE NA SIKU NZURI ZA KUWEZA KUTUNGWA MIMBA

Kama mwanamke ana menstration cycle ya siku 28 inabidi afanye kama ifuatavo: Kwanza

itabidi atengeneze kalenda yake mwenyewe ya siku zake zote za menstration cycle kama hapa
chini:

1st, 2nd, 3rd, 4th, 5th, 6th, 7th, 8th, 9th, 10th, 11th, 12th, 13th, 14th, 15th, 16th, 17th, 18th, 19th,
20th, 21st, 22nd, 23rd, 24th, 25th, 26th, 27th, 28th.

Kisha ahesabu kuanzia ile 28th day kurudi nyuma mpaka afikishe siku 15. Ataona kuwa siku ya
kumi na tano inaangukia kwenye 14th day. Inamaana kwamba 14th day ndiyo siku ya mimba
kwa mwanamke yeyote ambaye ana menstration cycle ya siku 28. Akumbuke kwamba 1st day
ndiyo siku anayoanza ku-bleed!

 

Attachments

  • menstrual-graphic-cycle-average-cycle-days-follicular-phase-ovulation-luteal-phase-bleeding-days.jpg
    93.4 KB · Views: 567
naomba ushauri, nina hali ya kuona damu ya hedhi siku mbili au tatu kabla ya tarehe za hedhi , kisha inapotea kabisa, alafu baada ya siku tatu ndio naanza kubleed. hili ni tatizo gani na nifanyeje? sikuwa hivi limejitokeza hivi karibuni. naomba msaada kwa anayefahamu.
 
Kuanzia siku ya ngapi tangu atoke MP ndio siku za hatari?
Ahsanteni wadau.

Siku hizi kuna APP nyingi sana za kukontroo hayo makitu.. Jaribu kuweka GLOW APP kwenye simu yako. Itakuonyesha kila kitu.

Utaniulizwa
1. unataka kufetilaizi
2. Kupata mimba
3. Kuzuia mimba
4. Njia unayoitumia kwa sasa
 
Yote hii kutafuta kugongana VODA kwa VODA... Binadamu tuna kazi sanaaa
 

Acha vitanzi na utoe hicho kitanzi kama umeweka!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…