richie hassan
Member
- Jan 10, 2013
- 52
- 9
Kipindi gani unaweza ukafanya mapenz alafu mwanamke asipate mimba ....ebu niambie mzunguko wa siku unakuwaje.....na je kuhesabu siku unaanza kipind gani...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha hasira brother
Siku ya kwanza aliyoona damu ndo unaanza kuhesabu siku ya kwanza..suala la mimba inategemea na mzunguko wake wa cku ngap..kwa maelezo zaid subir wataalam waje