Kipindi gani unaweza ukafanya mapenz alafu mwanamke asipate mimba ....ebu niambie mzunguko wa siku unakuwaje.....na je kuhesabu siku unaanza kipind gani...
Siku ya kwanza aliyoona damu ndo unaanza kuhesabu siku ya kwanza..suala la mimba inategemea na mzunguko wake wa cku ngap..kwa maelezo zaid subir wataalam waje
Siku ya kwanza aliyoona damu ndo unaanza kuhesabu siku ya kwanza..suala la mimba inategemea na mzunguko wake wa cku ngap..kwa maelezo zaid subir wataalam waje