Nilimaliza kuwa mwalimu mwaka 1999.Daaaa jamaa we cjui mwalimu? Nawaonea wivu wanafunzi wako kama ni mwalimu,ila kama co mwalimu ujue unaua kipaji.
Unaweza kupitia uzi huu wa KifyatuThanks for bringing this into attention of great thinkers...
I hope this topic will make all of us start thinking differently astronomically....
Let me also wait....
N'a kama dunia ni flat bado utahitaji kujua mechanism inayosukuma jua toka mashariki kwenda magaribi na linapita wapi ili lirudi tena mashariki kwa siku inayofuata.Na ndio hapo nawaunga mkono wanaosema dunia ni flat na sio duara kama tulivyo karirishwa hapo awali
Acha story mingi
Weka musiki
Asanteni kwa majibu. Je atmosphere inazunguka pamoja na dunia hii hii na kwa speed ileile?Kwanza unapaswa kutambua kuwa kila kitu (object) duniani inakuwa attracted towards the center of the earth. Hii ni pamoja na wewe na hiyo ndege unayoiongelea. Hii inaeleza kwanini ukiruka juu lazima urudi chini unless kuna external force za kukufanya usirudi chini. Na ndege inaweza kuruka kutokana na nguvu za mafuta/engine zinazokabiliana na uvutano wa dunia. Ukiweza kwenda kilometer nyingi toka uso wa dunia hizo nguvu zinapungua.
Nikirudi kwenye swali lako no kwamba huwezi kuhisi kuzunguka kwasababu dunia unazunguka nayo at the same speed. Kama uliwahi kusafiri kwenye gari na pakawepo gari ambalo linatembea sambamba na speed zikawa sawa. Utaona kama gari limesimama na unaweza piga story na mtu aliye kwenye gari lingine.
Kwa ufupi ni kwamba kila kilicho ndani ya uvutano wa dunia kinazunguka na dunia. Ukishatoka nje ya dunia ndo unaweza kuiona dunia invayozungula kama tunavyooma picha na video kutoka vyombo vilivyoko anga za mbali.
OK Dany... Ndyo ni ukweli kuwa dunia inazunguka na hata kuwa na mwendokasi ambao umeutaja ila cjahakiki japo inaezekana lakini safari za ndege hu zinafanyika relatively to the rotation ha dunia kuwa inaweza kuwa opposite au away yote majibu yapo.... Ndege inapokuwa inaondoka huwa ina mwendokasi wake lakini kabla ndge haijashinda kani mburuto kutoka ardhini ndge tunaiona katika mwendokasi wake kwa sababu na ss tuko katikabdunia ......lakini nde inaposhika kani mnyanyuko(upward force) inaachana na dunia lakini kumbuka wakati dunia inazunguka ilikuwa na speed yake ambayo hiyo hiyo speed ilikuwa inapelekwa hiyo ndge...lakini baada ya ndge kupaa tu mwendokasi wake unakuwa sawa na jumla ya mwendokasi wa mwanzo wa ndege ongezea na mwendokasi wa dunia
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]Tukutane kwenye kutongoza wewe hapa unapwaya ndugu yangu
Yah dunia ina mwendokasi sawa pamoja na vile vitu vilvyojishikiza kwenye dunia kama nyumba milima miti mtu aliyekaa kwenye kigoda,pia hata ambaye yupo kwene gari linalotembea maadam halijapaa lakini kwa vitu viliyoko angani huwa vina mwendokas tofauti na wa dunia mfano; wa ndege ni sasawa na mwend wa dunia jumlosha na ule unatolewa na jet ya ndege yenye ....ambapo inaitwa relative motion.......hii ni motion ambayo huwepo katika kila kilichoachanishwa na uso wa dunia kama hewa ....ndiyo maana unaeza kuona upepo unavuma kwa kasi ni sababu una mwendokac tofaut na wa dunia .............Asanteni kwa majibu. Je atmosphere inazunguka pamoja na dunia hii hii na kwa speed ileile?
Nimekuelewa dunia hii tulipo ina mwendo kasi tofauti na ule wa atmosphere yake.Yah dunia ina mwendokasi sawa pamoja na vile vitu vilvyojishikiza kwenye dunia kama nyumba milima miti mtu aliyekaa kwenye kigoda,pia hata ambaye yupo kwene gari linalotembea maadam halijapaa lakini kwa vitu viliyoko angani huwa vina mwendokas tofauti na wa dunia mfano; wa ndege ni sasawa na mwend wa dunia jumlosha na ule unatolewa na jet ya ndege yenye ....ambapo inaitwa relative motion.......hii ni motion ambayo huwepo katika kila kilichoachanishwa na uso wa dunia kama hewa ....ndiyo maana unaeza kuona upepo unavuma kwa kasi ni sababu una mwendokac tofaut na wa dunia .............
Ndivo navofahamu cjuy kama nimekushawishi
Mkuu nimeanza kukuelewa.
Ni Kama upo kwenye ndege au gari ukimiminiwa juice au maji hayawezi kumwagika kwasababu wewe anayekuwekea..Maji na glass wote mpo katika speed moja. Hadi hapo sawa.
Kama mdau alivyosema atmosphere na earth zinaspeed tofauti kutokana na ingredients tofauti ndani yao je unaliongele aje hil? Speed ni moja au tofauti? Kama ni moja kwanini iwe hivyo na wakati ingredients ni tofauti?
Hivi mkuu nzi si anakuwa kaikanyaga dunia? Je na mimi nikiwa kwenye ndege si nakuwa nimeikanyaga ndege? Sasa ndege imeikanyaga dunia? ??? Ndiyo maana nikauliza speed ya Exosphere au ya Mesosphere ni sawa na ya mentle au ya crust? Kama ndiyo kwanini? Kama sio kwanini ukiwa kwenye ndege usione hizo tofauti? Wewe ndiye ukaze kichwaKaka hebu legeza msuli basi, jamaa ameshakutafunia hilo mpaka mwisho
Iko hivi kama uko kwenye ndege na inaenda kwa speed say hiyo ya 570km/hr wewe unaweza kutembea ndani ya ndege hiyo kwenda mbele na kurudi nyuma ukiwa na speed yako ya 0.000009km/hr au nzi anaweza kuruka kwenda mbele ama nyuma ya ndege yenye speed
So hayo yote yanawezekana kwa sababu wewe, nzi na ndege mko ndani ya ndege na mko kwenye speed moja hiyo ya Ndege
So Ndege inaweza kuruka kwenda kokote na kurudi kwa sababu iko kwenye speed ya Dunia, na itashindwa kufanya hivyo ikotoka nje ya Earth gravitational force
Hapo umejibu vyema tunasema Dunia inalizunguka Jua kurahisha tu but Uhalisia Dunia hailizunguki JUAIn theory speed haiwezi kuwa sawa kwa sababu ya centrifugal force na pia mambo kama ya density ya gases na earth core kuwa tofauti, hapo ndipo swali lako lilipozaliwa. Ila pia kwa sababu gases zina density ndogo, ni rahisi kubebwa na gravity. Gases zote ambazo zilikuwa nje ya gravitational field ya dunia zimesha escape nje ya atmosphere (actually zinaendelea ku escape at a very low rate at the very top of the atmosphere). Zilizobaki zipo under the influence of gravity.
Sasa basi, kwa sababu sehemu kubwa ya uzito wa dunia inatokana na the earth itself, na proportionally the atmospehere is not as dense/ heavy, speed ya earth inapungua negligibly ukiwa kwenye atmosphere. In fact ukienda chinibkabisa kwenye earth core kuna molten iron inayozunguka even faster. Mzunguko huu pamoja na magnetism na magnetic poles kuwa tofauti na axis ya dunia ndivyo vitu vunavyisababisha dunia kujuzungusha kwenye mhumikibwaje in the first place, ti answer anither question I saw here.
Kusema atmosphere inakwenda speed moja na earth (land) ni simolification kama vike kusema dunia inalizunguka jua.
Dunia hailizunguki jua. Dunia na jua vinazunguka point fulani ambayo inapatikana kwa kutumia Newtons laws na Einsteins Relativity na Keplers laws. Kwa sababu jua ni kubwa sana ukililinganisha na dunia, point hii inakuwa ndani ya jua, ingawa si katikati ya jua.
Lakinibkwa sababubtunataka kurahisisha mambo, tunasema dunia inalizunguka jua kwa sababu the difference is negligible.
Hata hiyo difference ya speed ya atmosphere iliyobebwa na dunia (land and oveand all the way to the core) na dunia proper yenyewe ni ndogo sana.
Wewe umekuja mkuu...Unajua dunia dunia inaki2 knaitwa ozone layer ambayo inazunguka pamoja na dunia yetu so hlo anga ndilo linatumiwa na ndege kupaa so n ngumu kuexprsience huo mzunguko