Mzunguko wangu siuelewi

Redrose20

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2013
Posts
213
Reaction score
35
Nilipata period tarehe1 august hapo kat nilikutana na mwenzangu,kwenye tarehe17 nilimeza dawa za malaria tarehe20 nikatokwa na damu ya hedh,kwenye tarehe25 na 26 niliduu..sasa mpaka leo sijapata siku zangu nimekua mtu wa kutembea na pedi mana hata sielewi itatoka lini..msaada wenu tafadhalin.
 
Mmmh..if its true sina jinsi tena..mana kuanzia leo nimekua mchovu sn,kichefuchefu,miguu kuuma n.k.
 
Nilipata period tarehe1 august hapo kat nilikutana na mwenzangu,

Unamaanisha tarehe gani ulikutana na mwenzako, maana hilo neno 'hapo kati' ni ngumu sisi kuelewa?

kwenye tarehe17 nilimeza dawa za malaria tarehe20 nikatokwa na damu ya hedhi

Hiyo damu ilitoka kwa muda gani?

Siku moja pekee?
 
Unamaanisha tarehe gani ulikutana na mwenzako, maana hilo neno 'hapo kati' ni ngumu sisi kuelewa?



Hiyo damu ilitoka kwa muda gani?

Siku moja pekee?

nilikutana nae kuanzia tarehe13 mpk 17,ambapo tarehe17 usiku ndo nikameza dawa za malaria,tarehe20 nikapata period kwa siku5,then tarehe25,26 niliduu..mwez huu nimeduu tarehe6 na 7..sijapata period tangu nilivyomaliza hedh ya tarehe20 nazid kua mchovu,kichefuchefu,miguu kuuma,barid,usingizi, nk.
 

Jitahidi kumtunza vizuri huyo mgeni.
 
Hapo sijui tena kama kutakua na ndoa!
naona kidume kilikua kinatafuta mtoto tu!hongera lakini maana watu wanavyozitafuta we acha tu!
 

Binti nakushauri ukapime ujauzito kwa uhakika zaidi, maana naona siku zako zanichanganya pia....

Mzunguko wa kwanza kwa namna ulivyoeleza ni kama ulikuwa na jumla ya siku 19 pekee kwa mzunguko mzima...(hapa ndipo ninapoanza kuonesha wasiwasi)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…