Mzunguko wangu wa siku za mwezi unanichanganya

kuhusu mazingira sijabadili mkuu!wala sijasafiri .pia situmii dawa zozote za uzazi maana sifanyi mapenzi na yoyote
kuhusu ngono sijafanya kitambo sana mkuu almost yrs!

LABDA UNAFANYA KWA KUTUMIA ZA KICHINA CHINA NAYO NI NGONO PIA
 
ngoja siku nikipata mpenzi nitajaribu ila sijui kama nitaweza pipi napenda anifanye tu yaishe hayo ya kuwajibika ukute ten ni mkopo loh siwezi eti labda anifanyie shoping kwanza anipe mzuka na starter!
sasa na wewe unaenda bila kuwa umepata stater? Loh! unaenda tayari akili imetulia huna stress ukikaa juu ni wewe na kujiridhisha na yeye kumfanya kidido hai ha hahahaha wasinisikie nikisharidhika nalala kifo cha mende au mbuzi kagoma afanye fasta amalize hahaahahaha kwa heri
 
ukiwapiga mizinga hatua za awali wanasepa ! starter hawataki kutoa wakipewa chini ya kiwango wanalalamika sijui wanaume wanataka nini ndo maana mimi nimewashindwa bwana aaah !wewe unawafanyeje wanatoa starter?
 
unaacha kwenda hospitali unakuja kuanika mambo yako bila aibu ila pole uache kutumia dawa za uzazi wa mpango hazikufai au badili mfumo mwingine wa kujirinda na mimba
 
unaacha kwenda hospitali unakuja kuanika mambo yako bila aibu ila pole uache kutumia dawa za uzazi wa mpango hazikufai au badili mfumo mwingine wa kujirinda na mimba
mambo ya aibu ni yapi?
 
Humu JF wamo pia anda 17, asimwage mchele penye kuku wengi, hata na wale wasiostahili!
 
kuhusu mazingira sijabadili mkuu!wala sijasafiri .pia situmii dawa zozote za uzazi maana sifanyi mapenzi na yoyote
kuhusu ngono sijafanya kitambo sana mkuu almost yrs!
πŸ˜‰πŸ˜‰πŸ˜‰πŸ˜‰πŸ™πŸ˜‰πŸ˜‰πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™
 
Naona ulikimbia umande wew yan tarehe 23 ya mwez huu mpk mwezi ujao ujui ni siku ngap esabu za usingizin kbs lol shame on you
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…