Ngwananzengo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2012
- 1,911
- 1,315
Mimi ni MZUNGUMZAJI MHAMASISHAJI, pengine kwa utangulizi nieleze nini maana hasa ya MM. MM ni mtu anaezungumza ktk hadhira akiwa na lengo mahsusi la kupandikiza mbegu za uthubutu na kujitambua kwa hadhira. Hadhira yaweza kuwa wafanyakazi wa kampuni, kikundi cha uzalishaji Mali, wafanyabiashara au watu mchanganyiko wenye lengo na dhamira ya kuongeza tija na ufanisi ktk shughuli zao.
Kwa mtu anaependa kuelewa zaidi au kunihitaji aniPM. Pia kwa wenye kujua au kupenda kuongezea jambo karibuni. Mimi nipo tayari kutoa huduma hii popote pale. KARIBUNI.
Kwa mtu anaependa kuelewa zaidi au kunihitaji aniPM. Pia kwa wenye kujua au kupenda kuongezea jambo karibuni. Mimi nipo tayari kutoa huduma hii popote pale. KARIBUNI.