nimechaguliwa kujiunga na bsc in it pale ifm,ckujpng kwa ajil ya hyo kozi so hata mkopo ckuomba c mnafaham walichofanya tcu kwa baadh ya watu!!nahtaj n postpone mpaka mwakan ili niombe mkopo tu na c kuhangaika na tcu,n tumie utaratibu gan?kpnd cha registration n hz week 2 za mwanzo za huu mwez wa kumi.