Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
kila nikirudi home huku napepesuka na kuyumba yumba, na mara nyingine nikiwa sina kumbukumbu viatu nimeacha wapi.
Mke wangu huwa ananipokea kwa upendo na upole sana na kuniimbia huu wimbo wa njoo ufanyiwe maombi, njoo uombewe.
Nlikuwa najua kuwa yeye mama watoto ndio ameutunga kwa sababu sikuwahi kuusikia sehemu nyingine yoyote.
Jana nikiwa mchovu naelekea kilabuni, ndani ya daladala, nikausikia.
Kwa kweli ni wimbo mzuri sana,nyumbani kumsimulia mama watoto kuwa ule wimbo ambao huwa ananiimbia nimeusikia ukipigwa redioni.
Nikakaa na mama watoto wangu nikiwa soba kabisa, dah...
Nikagundua kuwa sasa nampenda wife kuliko nilivyo wahi kumpenda huko siku zilizopita
Kila nikirudi home huku napepesuka na kuyumba yumba, na mara nyingine nikiwa sina kumbukumbu viatu nimeacha wapi.
Mke wangu huwa ananipokea kwa upendo na upole sana na kuniimbia huu wimbo wa njoo ufanyiwe maombi, njoo uombewe.
Nlikuwa najua kuwa yeye mama watoto ndio ameutunga kwa sababu sikuwahi kuusikia sehemu nyingine yoyote.
Jana nikiwa mchovu naelekea kilabuni, ndani ya daladala, nikausikia.
Kwa kweli ni wimbo mzuri sana,nyumbani kumsimulia mama watoto kuwa ule wimbo ambao huwa ananiimbia nimeusikia ukipigwa redioni.
Nikakaa na mama watoto wangu nikiwa soba kabisa, dah...
Nikagundua kuwa sasa nampenda wife kuliko nilivyo wahi kumpenda huko siku zilizopita
njoo.njoo njoo ufanyiwe maombezi baba wimbo umesimama mnooooo
Hongera sana... sasa uache moja kwa moja
Duh iyo kali!ananyata nyata!!umenikumbusha mbali Mkuu,kuna jirani yangu yeye akitoka kirabuni (Mataputapu) usiku mnene anapita na chorus yake moja tuNInatembea kidogo kidogo nikinyata, basi anairudia hiyo hiyo mpaka anafika home