Nehemia Kilave
JF-Expert Member
- Jan 9, 2022
- 1,414
- 3,118
Ingawa kwa kumuangalia Azizi ki hizi mambo zinaonekana sio zake kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wana Simba au waafrika?Waafrika sikuzote kosa moja hufukia mema yote
Naona Yanga nao inataka kuiga yaleyaleWana Simba au waafrika?
Chama na Miquisone nimekutana nao sana Juliana lakini hakuna kitu ni kizuizi cha wao kuwa na perfomance ndogo kama wao wenyewe hawatajitambua.Ingawa kwa kumuangalia Azizi ki hizi mambo zinaonekana sio zake kabisa
View attachment 3147608
unawakumbuka walcot na wilshere ? waligombana sana na wenger kuhusu ma shisha wako wapi sasa hivi ?Chama na Miquisone nimekutana nao sana Juliana lakini hakuna kitu ni kizuizi cha wao kuwa na perfomance ndogo kama wao wenyewe hawatajitambua.
Hizo ni starehe binafsi na sidhani kama zinachangia yeye kushuka kiwango.
Wilshere ilikua ni tabia yake hata baada ya mazoezi anaenda kuvuta sigaraunawakumbuka walcot na wilshere ? waligombana sana na wenger kuhusu ma shisha wako wapi sasa hivi ?
Uko sahihiNaona Yanga nao inataka kuiga yaleyale
Tabia huzaa mazoeaWilshere ilikua ni tabia yake hata baada ya mazoezi anaenda kuvuta sigara