Na hapa tutamlaumu Gamondi ? Acheni kina Cristiano Ronaldo na Messi wang'are

Nehemia Kilave

JF-Expert Member
Joined
Jan 9, 2022
Posts
1,414
Reaction score
3,118
Ingawa kwa kumuangalia Azizi ki hizi mambo zinaonekana sio zake kabisa
Your browser is not able to display this video.
 
Chama na Miquisone nimekutana nao sana Juliana lakini hakuna kitu ni kizuizi cha wao kuwa na perfomance ndogo kama wao wenyewe hawatajitambua.

Hizo ni starehe binafsi na sidhani kama zinachangia yeye kushuka kiwango.
unawakumbuka walcot na wilshere ? waligombana sana na wenger kuhusu ma shisha wako wapi sasa hivi ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…