Elections 2010 Na hii nayo imekaaje ...rushwa au ni kutimiza ahadi/ilani

Elections 2010 Na hii nayo imekaaje ...rushwa au ni kutimiza ahadi/ilani

SIPENDI

Member
Joined
Apr 30, 2008
Posts
45
Reaction score
2
Baadhi ya Mitaa katika jiji la Dar-ES-Salaam, barabara zinapigwa greda (Mfano maeneo ya Magomeni). Kwa nini sasa na si mwaka jana? Nadhani hapa ni mahali pa kuanzia kampeni kwamba mchakato wa barabara nimeuanza naomba ridhaa yenu kwa kipindi cha miaka mitano nimalizie... Je hii nayo ni imekaaje wana JF?
 
Imekaa poa sana. Any way, barabara ijengwe hata katika kipindi hiki ila wenye akili hawahitaji kuambia waone. Hiyo danganyatoto ndiyo iliyotumaliza watz. Tunajisahau haraka sana, na kuendelea na maumivu ya miaka mitano
 
Sio Dar tu, hata huku Arusha mtindo ni huo huo, tatizo la hawa watu wanadhani kwamba capability of reasoning ya watanzania ni ndogo sana. They are disilutioned. Tuna akili za kutosha na tutawapiga chini muda si mrefu. Hivi mwaka wa uchaguzi pesa ya kusumbua na vifusi huwa inapatikana wapi?
 
Hakuna jipya, Barabara za magomeni zinazojengwe sasa zilikuwa na lami na lami ikafia mikononi mwao. Saa ya ukombozi ni sasa.
 
Back
Top Bottom