Sio Dar tu, hata huku Arusha mtindo ni huo huo, tatizo la hawa watu wanadhani kwamba capability of reasoning ya watanzania ni ndogo sana. They are disilutioned. Tuna akili za kutosha na tutawapiga chini muda si mrefu. Hivi mwaka wa uchaguzi pesa ya kusumbua na vifusi huwa inapatikana wapi?