Na hiki pia ni kivutio cha utalii Tanzania, tukitangaze

Na hiki pia ni kivutio cha utalii Tanzania, tukitangaze

Kwasenga

Member
Joined
Feb 24, 2021
Posts
55
Reaction score
53
Wapendwa habari ya mapumziko. TANROADS nawasalimia sana kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Naiomba wizara ya mali asili na utalii iziweke barabara za TANROADS mkoa wa Dar es Salaam katika list ya vivutio vya utalii, make na zenyewe ziko kiasili kabisa.

Barabara ni ya TANROADS tangu miaka hiyo na ni sehemu ya kutembea kwa dakika tano kwa gari, lakini unatumia dakika 30. Hiki nacho kitakuwa kivutio kikubwa ili watalii wafurahie kurushwa rushwa kwenye mashimo.

Barabara ya mbezi mwisho kwenda Bunju kupitia mbezi high school iwe ni ya kwanza kuingizwa kwenye hivi vivutio.
Hivi unajiuliza, hizi ni barabara au ni mashimo ya kuchimba mchanga?

Watu wanateseka sana na hizi barabara, daladala haziendi tena kwenye hizi barabara, je mnadhani kila mmoja ana gari private?

Ni ushauri wangu tu kizibadilisha hizi barabara ili ziingizwe kwenye vivutio vya utalii.
 
Wapendwa habari ya mapumziko. TANROADS nawasalimia sana kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Naiomba wizara ya mali asili na utalii iziweke barabara za TANROADS mkoa wa Dar es Salaam katika list ya vivutio vya utalii, make na zenyewe ziko kiasili kabisa.

Barabara ni ya TANROADS tangu miaka hiyo na ni sehemu ya kutembea kwa dakika tano kwa gari, lakini unatumia dakika 30. Hiki nacho kitakuwa kivutio kikubwa ili watalii wafurahie kurushwa rushwa kwenye mashimo.

Barabara ya mbezi mwisho kwenda Bunju kupitia mbezi high school iwe ni ya kwanza kuingizwa kwenye hivi vivutio.
Hivi unajiuliza, hizi ni barabara au ni mashimo ya kuchimba mchanga?

Watu wanateseka sana na hizi barabara, daladala haziendi tena kwenye hizi barabara, je mnadhani kila mmoja ana gari private?

Ni ushauri wangu tu kizibadilisha hizi barabara ili ziingizwe kwenye vivutio vya utalii.
Tanzania chini ya TANROADS imetajwa kwenye Nchi 10 za Afrika zenye barabara bora. Wewe unatoa wapi jeuri wa kukashifu juhudi zao Mkuu. Tatizo ni sisi watumiaji wa barabara kuzidisha Uzito hasa hizi barabara za Mtaani. Unakuta barabara ni uwezo wa Tanni 10 lkn unakutana na gari za tann 30 ndizo zimejaa hiyo njia unategemea barabara zidumu??? Au unataka TANROADS waweke mzani mpaka barabara za Mtaani. Kwa kifupi tungekuwa na nidhamu ya Utii wa Sheria za Usalama wa barabarani bila shuruti barabara zetu ziko poa sana.
Anyway some time Ten percent ni janga pia hasa barabara ya Iringa Mtera Dodoma na Ile ya Mwigumbi Maswa Bariadi ukifika lazima utoe chozi hawa Vijana wapenda Harrier wanatuua
 
Back
Top Bottom