Na hili nalo mkalitizameni

kabisaaaa nina hakika hajui kinachoendelea wizi wa akaunti ,hasara tunayo
 
Oya kichwa chake huwezi kuchoma ukalia naka ugali ka udaga

Joking [emoji2]

Mwanamke wa mipapaso
 
Nasema hivi, kwa jinsi haters mnavyopelekeshwa na mama hadi 2025 au 2030 lazima nyote mvae khanga.....hili liko wazi kabisa
 
Samia kazi imemshinda. Mwigulu ndo Rais wa nchi hii.
sidhani. hata mwigulu anaweza akawa front tu maana naye hakufika pale alipo kwa nguvu zake. kuna watu wamemfikisha pale....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…